Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli!

Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli!

Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli!

Mara nyingi huwa nasema hakuna jamii hapa duniani watu wake wakarimu, wana imani na roho nzuri kama waarabu, namaanisha kweli. Wengi wao wamejaaliwa haswaa

Hizi clip zimetrend mitandao mingi, kwa wale wabaguzi, wenye chuki dhidi ya waarabu, pia ni wadini clip hizi ziwafikie huko mlipo, au tayari mmeshaziona, mmekausha sio!, poleni sana, sijui mtaonyesha wapi sura zenu, sijui mtakuja na neno gani kwa Sol de Mayo, kiboko ya wenye chuki!


View: https://www.instagram.com/p/C0WMCbDKsMv/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==


View: https://www.instagram.com/p/C0Z3U4Ar53x/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==

Huu ni mfano tu kwa jamii ya waarabu, ila kuna mengi mazuri ya kuwapongeza hawa ndugu zetu waarabu. Mungu awabariki sana, natumaini tutaiga mienendo/mifano yao

Wale mnaotesa mahouse girl naomba mnisikilize kwa makini! igeni kutoka kwa hawa ndugu zetu waarabu, ishini na wafanyakazi kwa wema, na sio kumnyanyasa nakumpiga na isitoshe mshahara mnawapa kiduchu, sio poa aise, na Mwenyezi Mungu hapendi myafanyayo.

Katika kusafiri na kukaa kwangu nchi nyingi nimegundua Hakuna binadamu mwenye Roho mbaya kama mwarabu mzee. Hatusemi wote ila asilimia 70 ni Mashetan pasee. Na hakuna mtu mwenye Roho ngumu kama mzungu na hakuna watu wanafiki na waongeaji na wavivu kama waafrika na hakuna watu wenye displin na wanaoishi kwa mpangilio kama mjapan. Na Hakuna mji wenye matapeli wengi na vibaka kama wahindi wa Bangalore. Pili hiyo Lebanon unayosema sio wote ni waarabu Chief jitahd uwe unasafir ndio utaujua ukweli acha kusikiliza Hadith za kwenye kahawa.
 
Back
Top Bottom