Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli!

Katika kusafiri na kukaa kwangu nchi nyingi nimegundua Hakuna binadamu mwenye Roho mbaya kama mwarabu mzee. Hatusemi wote ila asilimia 70 ni Mashetan pasee. Na hakuna mtu mwenye Roho ngumu kama mzungu na hakuna watu wanafiki na waongeaji na wavivu kama waafrika na hakuna watu wenye displin na wanaoishi kwa mpangilio kama mjapan. Na Hakuna mji wenye matapeli wengi na vibaka kama wahindi wa Bangalore. Pili hiyo Lebanon unayosema sio wote ni waarabu Chief jitahd uwe unasafir ndio utaujua ukweli acha kusikiliza Hadith za kwenye kahawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…