Ya kuhonga inatoka kwenye fungu gani?Miezi sita sasa, mwanzoni nilodhani nakosea mahesabu, nikawa strictly zaidi kwenye mahesabu, ila bado napata hasara
Sent using Jamii Forums mobile app
Sihongi mkuu nina mke ndani, kwa matumizi ya kila siku, siigusi hii mpesa, ili kuwa makini zaidi na mahesabu, lakini wapi, hasara inaongezekaYa kuhonga inatoka kwenye fungu gani?
Wanakuchezea chuma uleteSihongi mkuu nina mke ndani, kwa matumizi ya kila siku, siigusi hii mpesa, ili kuwa makini zaidi na mahesabu, lakini wapi, hasara inaongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri utafute mtumishi aliyesimama ufanyiwe maombi, hizo roho chafu zipo sana, hayo yashamkuta sana mama angu karibia afungwe na taasisi za mikopo, wengne wanarushiwa pepo la madeni kila kukicha ni kukopa hata ufanyeje visa vya kukulia pesa haviishi.
Kuna watumishi wanafanya maombi hawaangalii dini ya mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukopa kopa kiaje mkuuHizo ni tabia tu za kupenda kukopa kopa mkuu..hayo mapepo mnayasingizia jaman khaa!
Hizo ni tabia tu za kupenda kukopa kopa mkuu..hayo mapepo mnayasingizia jaman khaa!
Ndugu nenda kwenye maomba kuna dalili wamekuroga upate hasara mtafute pastor Katunzi eagt city center mtoni kwa aziz ally kituo cha stend ya shamba au kwa mMa mgaya reli inapita juu hapo kuna kanisa chuma ulete anakimbia kwa maombi ni bure maombi ndugu mguu wako tu.Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa wana bodi, mimi ni wakala wa m-pesa, kwa muda mrefu nimekuwa naingia hasara bila kujua inatokana na nini, kwa mfano, nina laki tano kwenye sim na nina lako tano mkononi, nikifanya mzuguko ndani ya wiki moja, najikuta nina laki mbili kwene sim na laki tatu mkononi, so hapo kuna jumla ya laki tano sijui imepoteaje.
Nimebadili laini ya uwakala nikidhani ile laini ya kwanza kuna namna aliyeniuzia anaiba, kadhalika na hii line mpya nimeyonunua mwenyewe bado tatizo lipo.
Msaada tafadhari. Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
=====
Acha kumdanganya weye.Mapepo ndiyo Nini. Akatafute watu wa mahesabu wamfundidhe,hesabu haidanganyiNakushauri utafute mtumishi aliyesimama ufanyiwe maombi, hizo roho chafu zipo sana, hayo yashamkuta sana mama angu karibia afungwe na taasisi za mikopo, wengne wanarushiwa pepo la madeni kila kukicha ni kukopa hata ufanyeje visa vya kukulia pesa haviishi.
Kuna watumishi wanafanya maombi hawaangalii dini ya mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamfundishe kuhesabu hela?Acha kumdanganya weye.Mapepo ndiyo Nini. Akatafute watu wa mahesabu wamfundidhe,hesabu haidanganyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu,mambo haya yanawakumba sana hata Tellers wa bank,ni mambo ya mauzauza,wanapoteza pesa na kujikuta wana shoti zisizoisha kila wakati,matokeo yake wanajikuta pesa zao za mishahara zinaishia kulipa hizo shoti.Cha muhimu mkuu fanya maombi ya kuombea eneo lako la kazi,vifaa vyako,line zako,simu,kibanda n.k.kinyume cha hapo hutakaa ufanikiwe kwenye biashara zako,ni damu ya Yesu tu ndio inakuhusu ili kuweza kuvunja hizo nguvu za giza....Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa wana bodi, mimi ni wakala wa m-pesa, kwa muda mrefu nimekuwa naingia hasara bila kujua inatokana na nini, kwa mfano, nina laki tano kwenye sim na nina lako tano mkononi, nikifanya mzuguko ndani ya wiki moja, najikuta nina laki mbili kwene sim na laki tatu mkononi, so hapo kuna jumla ya laki tano sijui imepoteaje.
Nimebadili laini ya uwakala nikidhani ile laini ya kwanza kuna namna aliyeniuzia anaiba, kadhalika na hii line mpya nimeyonunua mwenyewe bado tatizo lipo.
Msaada tafadhari. Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
=====