Napoteza pesa bila kuelewa

Napoteza pesa bila kuelewa

Nakushauri utafute mtumishi aliyesimama ufanyiwe maombi, hizo roho chafu zipo sana, hayo yashamkuta sana mama angu karibia afungwe na taasisi za mikopo, wengne wanarushiwa pepo la madeni kila kukicha ni kukopa hata ufanyeje visa vya kukulia pesa haviishi.
Kuna watumishi wanafanya maombi hawaangalii dini ya mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hizo ni tabia tu za kupenda kukopa kopa mkuu..hayo mapepo mnayasingizia jaman khaa!
 
Mimi pia ni wakala wa MPESA na haya unayosema huwa yanatokea sana sema mimi huwa sipati hasara ya hela nyingi,, unaeza kuta jioni napiga hesabu naona elfu 30 haipo napitia sms zote zipo sawa ila sioni,,mpaka muda mwingine nawapia voda ila nao hakunaga la maana wanalonambia,,,hadi leo sijajua hela huwa zinapoteaje na ninajitahidi kuwa makini sanaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja,,,hiyo biashara kuna MTU huwa mpokezana kukaa kwenye mpesa????,,,mbili hiyo biashara pesa ya matumizi nyumbani unatoa apo apo???,,,,tatu una kuwa makini kwenye kuandika figure mfano MTU anataka kutuma laki moja na elfu Tisa(109000/=) unakuta MTU anatuma laki moja na elfu tisini(190,000/=)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa wana bodi, mimi ni wakala wa m-pesa, kwa muda mrefu nimekuwa naingia hasara bila kujua inatokana na nini, kwa mfano, nina laki tano kwenye sim na nina lako tano mkononi, nikifanya mzuguko ndani ya wiki moja, najikuta nina laki mbili kwene sim na laki tatu mkononi, so hapo kuna jumla ya laki tano sijui imepoteaje.

Nimebadili laini ya uwakala nikidhani ile laini ya kwanza kuna namna aliyeniuzia anaiba, kadhalika na hii line mpya nimeyonunua mwenyewe bado tatizo lipo.

Msaada tafadhari. Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app

=====
Ndugu nenda kwenye maomba kuna dalili wamekuroga upate hasara mtafute pastor Katunzi eagt city center mtoni kwa aziz ally kituo cha stend ya shamba au kwa mMa mgaya reli inapita juu hapo kuna kanisa chuma ulete anakimbia kwa maombi ni bure maombi ndugu mguu wako tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri utafute mtumishi aliyesimama ufanyiwe maombi, hizo roho chafu zipo sana, hayo yashamkuta sana mama angu karibia afungwe na taasisi za mikopo, wengne wanarushiwa pepo la madeni kila kukicha ni kukopa hata ufanyeje visa vya kukulia pesa haviishi.
Kuna watumishi wanafanya maombi hawaangalii dini ya mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumdanganya weye.Mapepo ndiyo Nini. Akatafute watu wa mahesabu wamfundidhe,hesabu haidanganyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa wana bodi, mimi ni wakala wa m-pesa, kwa muda mrefu nimekuwa naingia hasara bila kujua inatokana na nini, kwa mfano, nina laki tano kwenye sim na nina lako tano mkononi, nikifanya mzuguko ndani ya wiki moja, najikuta nina laki mbili kwene sim na laki tatu mkononi, so hapo kuna jumla ya laki tano sijui imepoteaje.

Nimebadili laini ya uwakala nikidhani ile laini ya kwanza kuna namna aliyeniuzia anaiba, kadhalika na hii line mpya nimeyonunua mwenyewe bado tatizo lipo.

Msaada tafadhari. Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app

=====
Pole sana mkuu,mambo haya yanawakumba sana hata Tellers wa bank,ni mambo ya mauzauza,wanapoteza pesa na kujikuta wana shoti zisizoisha kila wakati,matokeo yake wanajikuta pesa zao za mishahara zinaishia kulipa hizo shoti.Cha muhimu mkuu fanya maombi ya kuombea eneo lako la kazi,vifaa vyako,line zako,simu,kibanda n.k.kinyume cha hapo hutakaa ufanikiwe kwenye biashara zako,ni damu ya Yesu tu ndio inakuhusu ili kuweza kuvunja hizo nguvu za giza....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom