Leysha
Member
- Aug 10, 2017
- 13
- 5
Salaam wana JF.
Mimi Ni Muajiriwa katika kampuni fulani, kwa Muda wangu wa ziada najishughulisha na shughuli za Kuprint na Kudarizi T shirts Mashati N.K. Kwa sasa nafanyia shughuli zangu nyumbani tu na nna pokea Oda ndogo na kubwa za Kazi.
Nna mashine za kisasa za Kuprint na Kudarizi kwa kutumia Computer. Nikukaribishe wewe unayehitaji kuprint au kudarizi Uniforms chache au nyingi kwa ajili ya Kampuni yako, Shule, Biashara au Taasisi yoyote Ile.
Pia nna Design na Kuprint Business Cards, Natengeneza Vitambulisho Vya Kisasa vya PVC na Kuprint Vibao vya Milangoni.
Unaweza Wasiliana nami kwa Namba za Simu Hizi 0712 750 250 au 0752 981 380. Kuanzia Saa 11 Jioni huwa nakuwa Free sana. Napatikana Tandika, Dar Es Salaam.
Mimi Ni Muajiriwa katika kampuni fulani, kwa Muda wangu wa ziada najishughulisha na shughuli za Kuprint na Kudarizi T shirts Mashati N.K. Kwa sasa nafanyia shughuli zangu nyumbani tu na nna pokea Oda ndogo na kubwa za Kazi.
Nna mashine za kisasa za Kuprint na Kudarizi kwa kutumia Computer. Nikukaribishe wewe unayehitaji kuprint au kudarizi Uniforms chache au nyingi kwa ajili ya Kampuni yako, Shule, Biashara au Taasisi yoyote Ile.
Pia nna Design na Kuprint Business Cards, Natengeneza Vitambulisho Vya Kisasa vya PVC na Kuprint Vibao vya Milangoni.
Unaweza Wasiliana nami kwa Namba za Simu Hizi 0712 750 250 au 0752 981 380. Kuanzia Saa 11 Jioni huwa nakuwa Free sana. Napatikana Tandika, Dar Es Salaam.