Narudi tena kutafuta mwanamke mwenye mapenzi na malengo ya dhati

Bora angesema natafuta lishangazi lenye hela tu ikaeleweka.

Sema sijui kama wapo humu
Hao shangazi hawana nyege Za kupenda/kutaka vijana Kwa kuona mwandiko
Kijana akiwa goigoi na wao wanataka show kali,matuta tumboni Hadi kifuani ?
Watakukubali Kwa kukuona?
 
Mwanamke wankuanzia nae chini hii kauli inabidi aizungumze mwanamke yaani mwanamke ndiye mwenye uamuzi wa kuanza chini na mwanaume sio mwanaume useme unataka uanze chini na mwanamke hio inabidi kwako it ok automatic uliye nae uone ana kuvumilia sio umoangie ila kwa mwanamke sio suala la automatic ni anapanga yeye
 
Dogo, mbona kama haupo serious?
Wewe una 22 halafu unataka mke wa umri wowote?
Au unatafuta kulelewa?!
 
Hao shangazi hawana nyege Za kupenda/kutaka vijana Kwa kuona mwandiko
Kijana akiwa goigoi na wao wanataka show kali,matuta tumboni Hadi kifuani ?
Watakukubali Kwa kukuona?
Kabisa ni kweli.

Humu sasa labda ni kutafuta tu
pisi ya kupiga nayo mikasi.

Sema hapo tena wa mikasi si unamkuta tu kulekule pub au grocery πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜ƒ
 
Nashauri upendelee kutembelea mahalli ambako wako utapata, kaa ukijua na wao pia wako wakitafuta wenza kwa bidii na Maombi. Jipange, Nenda pole pole kwa nia na dhamira njema huku ukimshirikisha Mwenyezi Mungu ktk kila hatua, nakuhakikishia utapata alie bora lakini pia atakua Mwema na anaetoka Kwa Mungu.
 
Kuna watu mnayapa mahusiano kipaumbele sana kwenye maisha yenu[emoji848]kwani ukiachana na sex kuna faida gani nyingine ya kuoa
 
Kam unakazi sawa tu tafuta mwaya utapata kuoa mapema ndio raisi kukuza kuliko kuoa uzeeni ushachoka
 
πŸ‘
 
Asant sana Tlaatlaah ubarikiwe
 
Miaka 22 mdogo kabisa fikiria carrier achana na wanawake mpka ukomae miak 30 hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…