Hao shangazi hawana nyege Za kupenda/kutaka vijana Kwa kuona mwandikoBora angesema natafuta lishangazi lenye hela tu ikaeleweka.
Sema sijui kama wapo humu
Dogo, mbona kama haupo serious?sifa mwanamke awe na elimu yeyote kabila lolote umri wowote nitapenda mwanamke nianzae nae chini mpk kujuu hapo nitaamini alikuja kwa ajili yangu umri nina miaka 22 pia nitapendelea wa dar japokuwa mikoani pia mnakaribishwa mm ninachohitaji ni userious wa mtu basi kama kwa yeyote atakuwa tayari ni pm
Kabisa ni kweli.Hao shangazi hawana nyege Za kupenda/kutaka vijana Kwa kuona mwandiko
Kijana akiwa goigoi na wao wanataka show kali,matuta tumboni Hadi kifuani ?
Watakukubali Kwa kukuona?
Nashauri upendelee kutembelea mahalli ambako wako utapata, kaa ukijua na wao pia wako wakitafuta wenza kwa bidii na Maombi. Jipange, Nenda pole pole kwa nia na dhamira njema huku ukimshirikisha Mwenyezi Mungu ktk kila hatua, nakuhakikishia utapata alie bora lakini pia atakua Mwema na anaetoka Kwa Mungu.Natumaini ni wazima wa afya leo nimerudi tena kutafuta mwanamke mwenye malengo na mapenzi ya dhati hapo mwanzoni niliopost thread ya kutafuta mchumba kuanza mahusiano serious lakin bado sijafanikiwa kupata wengi wao ni hawapo serious ni kama wametumwa kumjaribu mtu tuachane na hayo sifa mwanamke awe na elimu yeyote kabila lolote umri wowote nitapenda mwanamke nianzae nae chini mpk kujuu hapo nitaamini alikuja kwa ajili yangu umri nina miaka 22 pia nitapendelea wa dar japokuwa mikoani pia mnakaribishwa mm ninachohitaji ni userious wa mtu basi kama kwa yeyote atakuwa tayari ni pm
Unasikia Dumejr , fanyia kazi huu ushauri. Najua bado hujawa na stable economy kuweza kuprovide financial services kwa huyo unaemtafuta. Be a Restless Hustler kwanza hadi utoboe.Kwa mwanaume, Miaka 22 bado Sana. Acha haraka, Tafuta Hela
πKuna rafik yangu wa kike nilimtafuta nkakuta kaolewa sasa akanipa namba ya binti ndugu yake ili nitongoze.
Tena best aliniambia hakuwezi huyu, mm nikalazimisha we nipe namba. Nikapewa.
Aisee nilipogundua ni mwanamke bonge tu, nikakimbia kwa kutoka nduki.
Aisee vibonge mnisamehe, siwawezi ππ
Wahusika waliamua kuuchafua makusudi ili uondolewe mkuu.Na kauzi kale si kamefutwa mkuu
Brother kwann nitukane sio kila mtu yupo unavofikiria cha msingi ushauri umezingatiwa asante sana πUnasikia Dumejr , fanyia kazi huu ushauri. Najua bado hujawa na stable economy kuweza kuprovide financial services kwa huyo unaemtafuta. Be a Restless Hustler kwanza hadi utoboe.
Hili sio ombi, ni lazima. Na ukikaidi utapigwa2 . Sasa TUKANA UONE
Sawa mkuuKwa mwanaume, Miaka 22 bado Sana. Acha haraka, Tafuta Hela
Asant sana Tlaatlaah ubarikiweNashauri upendelee kutembelea mahalli ambako wako utapata, kaa ukijua na wao pia wako wakitafuta wenza kwa bidii na Maombi. Jipange, Nenda pole pole kwa nia na dhamira njema huku ukimshirikisha Mwenyezi Mungu ktk kila hatua, nakuhakikishia utapata alie bora lakini pia atakua Mwema na anaetoka Kwa Mungu.
πππUnasikia Dumejr , fanyia kazi huu ushauri. Najua bado hujawa na stable economy kuweza kuprovide financial services kwa huyo unaemtafuta. Be a Restless Hustler kwanza hadi utoboe.
Hili sio ombi, ni lazima. Na ukikaidi utapigwa2 . Sasa TUKANA UONE
Miaka 22 mdogo kabisa fikiria carrier achana na wanawake mpka ukomae miak 30 hiviNatumaini ni wazima wa afya leo nimerudi tena kutafuta mwanamke mwenye malengo na mapenzi ya dhati hapo mwanzoni niliopost thread ya kutafuta mchumba kuanza mahusiano serious lakin bado sijafanikiwa kupata.
Wengi wao ni hawapo serious ni kama wametumwa kumjaribu mtu tuachane na hayo sifa mwanamke awe na elimu yeyote kabila lolote umri wowote nitapenda mwanamke nianzae nae chini mpk kujuu hapo nitaamini alikuja kwa ajili yangu umri.
Nina miaka 22 pia nitapendelea wa dar japokuwa mikoani pia mnakaribishwa mm ninachohitaji ni userious wa mtu basi kama kwa yeyote atakuwa tayari ni pm
π π π πVibonge ukimnyandua we jua kbs hamna kuachana, Wana madhaifu mengi hawapo tayar yajulikane kwa watu wengi
Au nadanganya bwana mkubwaπ π π π