- Thread starter
- #41
Sawa mkuu asante kwa ushauriiMiaka 22 mdogo kabisa fikiria carrier achana na wanawake mpka ukomae miak 30 hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu asante kwa ushauriiMiaka 22 mdogo kabisa fikiria carrier achana na wanawake mpka ukomae miak 30 hivi
NdioUmesema miaka 22?
Ok sawaBado mdogo mkuu
NakaziaKwa mwanaume, Miaka 22 bado Sana. Acha haraka, Tafuta Hela
Na sisi wenye 23Bado mdogo mkuu
At least mfike 30 mkuuNa sisi wenye 23
Hadi sasa hujajua sababu ya kukimbiwa?? Kazi kweli kweliNatumaini ni wazima wa afya leo nimerudi tena kutafuta mwanamke mwenye malengo na mapenzi ya dhati hapo mwanzoni niliopost thread ya kutafuta mchumba kuanza mahusiano serious lakin bado sijafanikiwa kupata.
Wengi wao ni hawapo serious ni kama wametumwa kumjaribu mtu tuachane na hayo sifa mwanamke awe na elimu yeyote kabila lolote umri wowote nitapenda mwanamke nianzae nae chini mpk kujuu hapo nitaamini alikuja kwa ajili yangu umri.
Nina miaka 22 pia nitapendelea wa dar japokuwa mikoani pia mnakaribishwa mm ninachohitaji ni userious wa mtu basi kama kwa yeyote atakuwa tayari ni pm
🤣🤣🤣🤣🤣Bora angesema natafuta lishangazi lenye hela tu ikaeleweka.
Sema sijui kama wapo humu
Nenda Kawe kwa Mwamposa wa Wanawake wakila ainaNatumaini ni wazima wa afya leo nimerudi tena kutafuta mwanamke mwenye malengo na mapenzi ya dhati hapo mwanzoni niliopost thread ya kutafuta mchumba kuanza mahusiano serious lakin bado sijafanikiwa kupata.
Wengi wao ni hawapo serious ni kama wametumwa kumjaribu mtu tuachane na hayo sifa mwanamke awe na elimu yeyote kabila lolote umri wowote nitapenda mwanamke nianzae nae chini mpk kujuu hapo nitaamini alikuja kwa ajili yangu umri.
Nina miaka 22 pia nitapendelea wa dar japokuwa mikoani pia mnakaribishwa mm ninachohitaji ni userious wa mtu basi kama kwa yeyote atakuwa tayari ni pm
Fany ukuj kwang mtt portable hutajutia😀Kuna rafik yangu wa kike nilimtafuta nkakuta kaolewa sasa akanipa namba ya binti ndugu yake ili nitongoze.
Tena best aliniambia hakuwezi huyu, mimi nikalazimisha we nipe namba. Nikapewa.
Aisee nilipogundua ni mwanamke bonge tu, nikakimbia kwa kutoka nduki.
Aisee vibonge mnisamehe, siwawezi 😃😀
Mwanamke wankuanzia nae chini hii kauli inabidi aizungumze mwanamke yaani mwanamke ndiye mwenye uamuzi wa kuanza chini na mwanaume sio mwanaume useme unataka uanze chini na mwanamke hio inabidi kwako it ok automatic uliye nae uone ana kuvumilia sio umoangie ila kwa mwanamke sio suala la automatic ni anapanga yeye
We mtoto mdogo, hebu kasome. Mtoto unatafutaje demu mitandaoniNatumaini ni wazima wa afya leo nimerudi tena kutafuta mwanamke mwenye malengo na mapenzi ya dhati hapo mwanzoni niliopost thread ya kutafuta mchumba kuanza mahusiano serious lakin bado sijafanikiwa kupata.
Wengi wao ni hawapo serious ni kama wametumwa kumjaribu mtu tuachane na hayo sifa mwanamke awe na elimu yeyote kabila lolote umri wowote nitapenda mwanamke nianzae nae chini mpk kujuu hapo nitaamini alikuja kwa ajili yangu umri.
Nina miaka 22 pia nitapendelea wa dar japokuwa mikoani pia mnakaribishwa mm ninachohitaji ni userious wa mtu basi kama kwa yeyote atakuwa tayari ni pm