Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #181
Kwa hiyo walioko kijijini wote wameshindwa maisha?Unaruhusiwa kushindwa maisha bila hata kutoa sababu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo walioko kijijini wote wameshindwa maisha?Unaruhusiwa kushindwa maisha bila hata kutoa sababu
Umesahau kusema kule kijijini ukikoma unapata demu safi na fresh kabisa na ukibaki nae huko huko uwezekano wakula wewe mwenyewe ni mkubwa mnoNimeamua nikazeekee kijijini kwa sababu zifuatazo:-
Kule kijijini nitapata hewa safi isiyokuwa na mchafuko Kule kijijini nitapata majirani wema wasiokuwa na choyo Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana bila chuki Kule kijijini tutakuwa tunakunywa togwa pamoja Kule kijijini tutapunguza msongo wa mawazo Kule kijijini tutaingia shamba lolote kuchuma matunda na kula Kule kijijini tutakuwa tunasikia milio ya ndege na viumbe mbali mbali Kule kijijini tutafurahia uoto wa asili Kule kijijini tutakuwa tunaenda kuwinda kama sehemu ya michezo Kule kijijini tutapata marafiki wengi ambao sio wanafiki Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana panapotokea mmoja wetu anaumwa. Kukaa kwenye nyumba ya nyasi yenye hewa safi na ya kuvutia Kula vyakula vilivyopikiwa kwenye vyungu na kuwa na ladha nzuri Kendwa kuogelea mitoni na kuvua samaki kama sehemu ya michezo na uwindajiKwa ujumla maisha ya kijijini yatakuwa ni mazuri sana
View attachment 3121969
Kwa nyie mnaobaki mjini, nawaachia mpambane na:-
Majungu na fitina zenu Mchafuko wa hali ya hewa Jua kali Msongamano wa watu Makelele ya baa na kumbi za starehe zinazoharibu utulivu wa ubongo Misongo ya mawazo kutokana na changamoto za kimazingira Kudharauliwa na vijana Kununua kila kitu; nyanya, yai ,mchicha n.k Kutokuwa na marafiki wa kweli Kila mmoja kumuona mwenzie fursa Kuzeeka kabla ya umri wako Kupata magonjwa ya moyo na presha n.k Kula vyakula vyenye kemikali katika kukuzia au usindikajiView attachment 3121971
Fanya maamuzi mapema; njoo kijijini tukawinde kanga pori, sungura, n.k pamoja na kuongeza miaka mingi ya kuishi.
Kwa hiyo walioko kijijini wote wameshindwa maisha?
Aya twendeWazo zuri kabisa
ha ha ha kule kuna fursa nyingiUmesahau kusema kule kijijini ukikoma unapata demu safi na fresh kabisa na ukibaki nae huko huko uwezekano wakula wewe mwenyewe ni mkubwa mno
Mkumbuke kunitumia mikate nikiwa huku kijijiniNenda kale hewa fresh Baba
Mkumbuke kunitumia mikate nikiwa huku kijijini
Bado unaangaika!? Si mchukuzane na mkeo!? Ni wazo zuri kwa sababu ndiyo maono yangu pia...nitamalizia maisha yangu kijijini...nikafuge na kulima vibustaniAya twende
Umefika tu bush na kuzeeka hata kukaa hujakaa bado.Mimi ni muwindaji mzuri sana, tutakuwa tunaenda kuwinda
View attachment 3122063
Si unajua msaidizi ni muhimuBado unaangaika!? Si mchukuzane na mkeo!? Ni wazo zuri kwa sababu ndiyo maono yangu pia...nitamalizia maisha yangu kijijini...nikafuge na kulima vibustani
VizuriSi unajua msaidizi ni muhimu
😀😀😀 nadhani hawa 2000 watanisaidia nisizeeke harakaUmefika tu bush na kuzeeka hata kukaa hujakaa bado.
Kwa hiyo kijijini hupataki
Nishaolewa nipo Kwa mume wanguKwa hiyo kijijini hupataki tena?
Kwa hiyo kijijini wanaishi ambao hawajaolewa?Nishaolewa nipo Kwa mume wangu
Ukisubiri mpaka uzee uje ndio ukimbilie kijijini, utakufa mapema?Kijijini kutamu sana Mimi Kila mapumziko lazima niende kijijini na familia kama hakuna jam asee. Na Nina shamba mahala nitajenga tu uzee wangu nirudi hukoo
Mkuu nilimanisha baada ya kuachana na kazi za kuajiliwa na kuweka mambo sawa huko kijijini ndo utakuwa muda sahihi wa kuwa kule. NikafugeUkisubiri mpaka uzee uje ndio ukimbilie kijijini, utakufa mapema?
Mh jamani naenda kuwatembeleaKwa hiyo kijijini wanaishi ambao hawajaolewa?