Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Mwenyewe sema ni hiki kipato nachopata kila mwezi huku mjini isingekuwa hivyo,napenda kuishi kijijini kwetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza sasa kuwekeza kule kijijini, ili ukirudi uwe na uhakika wa kupata ata sukariMwenyewe sema ni hiki kipato nachopata kila mwezi huku mjini isingekuwa hivyo,napenda kuishi kijijini kwetu.
Vijiji vingine vina ukame sana kutokana na jua kali, ni vizuri kuchagua vijiji ambavyo hutumii nguvu nyingi kupata chakula pamoja na hewa safi.Sio vijijini vya Dodoma,Singida,Lindi na Shinyanga
Vijiji vya hiyo Mikoa vimepauka kama upo Mbagala kwa Tumbo
Hahaha sema tatizo la vijiji vingi bongo maisha yake ni magumu sana (Hakuna huduma za kijamii) ila ukibahatika utapata utulivu sana.Hakuna namna, maisha yenyewe haya kufikisha miaka 80 ni mtihani
Kwa alivotumika huku mjini, sahivi akipiga trako 3 tu kinakua kama kimepata pancha...... Acha akaongee na wazee wampe mizizi😂 nguvu za kiume zishamuishia huyo acha arudi akajifie.
Mzee Grahams Mpokeeni huyo na mmpe ushiriikianoKwa alivotumika huku mjini, sahivi akipiga trako 3 tu kinakua kama kimepata pancha...... Acha akaongee na wazee wampe mizizi
Maisha ya huku kijijini full burudani, kama tuko eden vileKwa alivotumika huku mjini, sahivi akipiga trako 3 tu kinakua kama kimepata pancha...... Acha akaongee na wazee wampe mizizi
Me sitakNjoo twende
Siogopi😁Ukikataa,nitakutana na hawa wengine huko
View attachment 3122978
Bado siogopi
Kumbuka maisha ya kijijini ni matamu sanaBado siogopi
Hapana me naogopa mafisia,majokaKumbuka maisha ya kijijini ni matamu sana
Sawa ngoja nichochee kuni kwenye hii supu ya utumbo na ndizi, bila hivyo nitalala njaa hapa kijijiniHapana me naogopa mafisia,majoka
😂😂😂AisehSawa ngoja nichochee kuni kwenye hii supu ya utumbo na ndizi, bila hivyo nitalala njaa hapa kijijini
Maeneo yanapostawi migomba na kahawa,ni kuzuri kwa kuishi; mazingira yanakuwa yanavutiaNaona vijiji vya kagera viko poa sana