Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
Mimi ni muwindaji mzuri sana, tutakuwa tunaenda kuwindaVyote hivyo haviji hivi hivi bila kushika jembe na shoka sharo wew unaweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni muwindaji mzuri sana, tutakuwa tunaenda kuwindaVyote hivyo haviji hivi hivi bila kushika jembe na shoka sharo wew unaweza
Ebu piga mahesabu, huyo anayelala kwenye hiyo nyumba anapata raha ganiChai
Hakuna raha yoyote zaidi ya kupigwa na baridi tu hapooo pamoja na kung'atwa na kunguniEbu piga mahesabu, huyo anayelala kwenye hiyo nyumba anapata raha gani
Hao maslay queen wa kiafrika hawataki maisha ya bushi; wakizungu hawana shidaJitahidi kaa karibu na dar hata maslay queen uwe unawavusha
Hujawahi kujiuliza kwa nini mzungu atoke ulaya aje alale kwenye tembe kwa gharama kubwa?Hakuna raha yoyote zaidi ya kupigwa na baridi tu hapooo pamoja na kung'atwa na kunguni
Umenikumbusha kupiga hodi mtoni tulipokuwa tunaenda kuoga mtoniNimeamua nikazeekee kijijini kwa sababu zifuatazo:-
Kule kijijini nitapata hewa safi isiyokuwa na mchafuko Kule kijijini nitapata majirani wema wasiokuwa na choyo Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana bila chuki Kule kijijini tutakuwa tunakunywa togwa pamoja Kule kijijini tutapunguza msongo wa mawazo Kule kijijini tutaingia shamba lolote kuchuma matunda na kula Kule kijijini tutakuwa tunasikia milio ya ndege na viumbe mbali mbali Kule kijijini tutafurahia uoto wa asili Kule kijijini tutakuwa tunaenda kuwinda kama sehemu ya michezo Kule kijijini tutapata marafiki wengi ambao sio wanafiki Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana panapotokea mmoja wetu anaumwa. Kukaa kwenye nyumba ya nyasi yenye hewa safi na ya kuvutia Kula vyakula vilivyopikiwa kwenye vyungu na kuwa na ladha nzuri Kendwa kuogelea mitoni na kuvua samaki kama sehemu ya michezo na uwindajiKwa ujumla maisha ya kijijini yatakuwa ni mazuri sana
View attachment 3121969
Kwa nyie mnaobaki mjini, nawaachia mpambane na:-
Majungu na fitina zenu Mchafuko wa hali ya hewa Jua kali Msongamano wa watu Makelele ya baa na kumbi za starehe zinazoharibu utulivu wa ubongo Misongo ya mawazo kutokana na changamoto za kimazingira Kudharauliwa na vijana Kununua kila kitu; nyanya, yai ,mchicha n.k Kutokuwa na marafiki wa kweli Kila mmoja kumuona mwenzie fursa Kuzeeka kabla ya umri wako Kupata magonjwa ya moyo na presha n.k Kula vyakula vyenye kemikali katika kukuzia au usindikajiView attachment 3121971
Fanya maamuzi mapema; njoo kijijini tukawinde kanga pori, sungura, n.k pamoja na kuongeza miaka mingi ya kuishi.
Humo ndani SIAFU wanavamia haraka sana na huna cha kufanyaHujawahi kujiuliza kwa nini mzungu atoke ulaya aje alale kwenye tembe kwa gharama kubwa?
Maisha ya kijijini yana raha yakeNapenda maisha ya kijijini.
Mnazama msituni mnafanya jambo,mnawinda ndege,kuchuma matunda,kanga pori mnawinda.
Sasa winda kanga mjini daslam hehehdh
Kuna jamaa yangu tulikutana baada ya miaka kadhaa kukatika ananiuliza dogo umekuwa mlevi halafu mbona unazeeka hivi wakati hata bia sinywi ila nilikuwa nauza ndani ya vingungutiMaisha ya mjini kila siku ni mateso, muda mwingi unaupoteza bara barani; achilia mbali stress za hapa na pale
Uko ndiko kuzuriKaribu sana huku tukuyu, mwakaleli ndo tunavuna viazi mviringo, ndizi zipo za kutosha, huku kupo kama ulaya vile shida ni usafiri tu
Njoo huku bushi tuishi pamoja, unipatie watoto wa uzeeni ata wawili 😀 😀Subiri kwanza unipe ile hela ndio uhamie bush.
Na ni vizuri kuutekeleza mapema ukiwa na nguvuHuo ni Uamuzi wa Busara!
Nangojea ushauri wenu kuhusu kijiji cha kwendaUnaenda kijiji gani au unaenda mpwayungu village.🤣🤣
Tatizo binadamu ni wabishi sanaPicha namba mbili inahuzunisha sana
huyo kwenye picha ni wewMimi ni muwindaji mzuri sana, tutakuwa tunaenda kuwinda
View attachment 3122063
Mjini mkikutana mtaani mnakuwa kama hamjuani, kila mmoja ana changamoto zakeKuishi mjini haswa dar kuna hitaji uwe na moyo mgumu, sisi tusiopenda heka tulikimbia muda sana aisee, na hiyo hali ya hewa ilivyo ngumu nduo balaaa... Karibu karne ya tisa mkuu, huku tunaishi kijamaa mjini ni ubepari.