Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Tobaaaaa!!!kuna watu wanaenda kuumia 🤕🤕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tobaaaaa!!!kuna watu wanaenda kuumia 🤕🤕
Hebu aje aongelee hili huko kijijini hawataki watu wa namna hii kutamshindaUnaeza kuta ni atheist
Wengi tukishafika mjini, tunakuwa kama tumepumbazwa akili, tunakuwa hatufikirii mazingira mengine ya kuishi yenye utulivu.Basi kijijini kwenyewe iwe Mikoa ya Pwani,Lindi ama Mtwara.. watu hawalimi kazi kushinda kwenye bao tu.. unga wa sembe mpaka utoke Dar.. kila kitu kitoke mjini, kazi wanayoithaamini ni kurogana tu.. maisha ya vijijini mazuri yapo Usukumani unaamka asubuhi unakumbana na viazi unashushia na maziwa .. kufumba na kufumbua unaibukia kwenye (Ng'homele) nyama zilizokaushwa, hujagusa (Mashishanga) jibini huko ni full kujiachia utakumbuje Dar ya chai na slace mbili !?
Na huku vijijini wapo tena ni orijino, hawajaenda uturuki 😀Utayamiss mishangingi yenye mitako...ewe die hard fan(s) wa mikalio😂
Tena haya mazingira ndio mazuri sana, unaweza fikisha miaka 100Home sweet home,
Umenikumbusha uliposema mayai ngoja nikacheki bandani walau nichemshe mawili
Tutakula ndizi za kuchoma, nyama ya sungura pori, mayai ya kanga, maziwa n.k; hapo lazima utakate mwili mzima🤣🤣🤣🤣🤣mla bata na mazingira ya kijijini wapi na wapi usije nifanya nikapauka bure
Karibu kijijini tukawinde kanga pori mkuuAisee,
Jiangalie mkuu, mambo ya 3 sum uliyo zoea kufanya mjini ukiyapeleka kijijini watakuua chap !
Huku kwetu wengi sana haoooKaribu kijijini tukawinde kanga pori mkuu
Usitufokee sasa jomba , we nenda tu .Nimeamua nikazeekee kijijini kwa sababu zifuatazo:-
Kule kijijini nitapata hewa safi isiyokuwa na mchafuko Kule kijijini nitapata majirani wema wasiokuwa na choyo Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana bila chuki Kule kijijini tutakuwa tunakunywa togwa pamoja Kule kijijini tutapunguza msongo wa mawazo Kule kijijini tutaingia shamba lolote kuchuma matunda na kula Kule kijijini tutakuwa tunasikia milio ya ndege na viumbe mbali mbali Kule kijijini tutafurahia uoto wa asili Kule kijijini tutakuwa tunaenda kuwinda kama sehemu ya michezo Kule kijijini tutapata marafiki wengi ambao sio wanafiki Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana panapotokea mmoja wetu anaumwa. Kukaa kwenye nyumba ya nyasi yenye hewa safi na ya kuvutia Kula vyakula vilivyopikiwa kwenye vyungu na kuwa na ladha nzuri Kendwa kuogelea mitoni na kuvua samaki kama sehemu ya michezo na uwindajiKwa ujumla maisha ya kijijini yatakuwa ni mazuri sana
View attachment 3121969
Kwa nyie mnaobaki mjini, nawaachia mpambane na:-
Majungu na fitina zenu Mchafuko wa hali ya hewa Jua kali Msongamano wa watu Makelele ya baa na kumbi za starehe zinazoharibu utulivu wa ubongo Misongo ya mawazo kutokana na changamoto za kimazingira Kudharauliwa na vijana Kununua kila kitu; nyanya, yai ,mchicha n.k Kutokuwa na marafiki wa kweli Kila mmoja kumuona mwenzie fursa Kuzeeka kabla ya umri wako Kupata magonjwa ya moyo na presha n.k Kula vyakula vyenye kemikali katika kukuzia au usindikajiView attachment 3121971
Fanya maamuzi mapema; njoo kijijini tukawinde kanga pori, sungura, n.k pamoja na kuongeza miaka mingi ya kuishi.
Liwike lisiwike kutakuchaMji una wenyewe,mjini njoo na akili,jembe na manguvu peleka kijijini,jogoo wa shamba hawiki mjini,mjini chuo kikuu
Duh,Karibu kijijini tukawinde kanga pori mkuu
Vyote hivyo haviji hivi hivi bila kushika jembe na shoka sharo wew unawezaTutakula ndizi za kuchoma, nyama ya sungura pori, mayai ya kanga, maziwa n.k; hapo lazima utakate mwili mzima
Haumii mtu, haya ndio yatakuwa makazi yangu 😀Tobaaaaa!!! kuna watu wanaenda kuumia huko🤕🤕
Chai