NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
acha viroba bro utakunywaje bia umekula uanguke mtaroni?Kwel pombe ni mbaya hivi ni mimi wa kuamkia mtaroni Kwel 🤫
Nimezingua tu ila pombe haina tatizo ila inapaswa inyweke na watu wenye akili tuacha viroba bro utakunywaje bia umekula uanguke mtaroni?
NakaziaMtoa mada apuuzwe
masikini pombe sio chaiKwel pombe ni mbaya hivi ni mimi wa kuamkia mtaroni Kwel 🤫
Limemkuta jambo nnKwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra!
Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako!
Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, halafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe?
Mhhhhhh!!!??
Maskini tena😁masikini pombe sio chai
Acha ujinga sio wote wameandikiwa kunywa pombe. Nenda kajikite kwenye sodaKwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra!
Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako!
Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, halafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe?
Mhhhhhh!!!??
Wanywaji wanakunywa ili walewe,sasa ukinywa kiasi utalewa?,si bora tu unywe maji au juisi?,,ndo maana baadhi ya dini zimepigwa marufuku,,nashangaa kwanini mamlaka zisiweke tahadhari Kama kwenye sigara nk,au kupigwa marufuku?,kipindi cha nyuma viroba vilipigwa marufuku,lkn binadamu ni viumbe wakujiongeza,wapo wanaopima na wengine wametengeneza packages ndoogo,wamerudi kule kule lkn kivingine,hatari kweli kweli.Nikinywa Pombe nasikia Raha
Wandugu maisha ya pombe ni mazuri sana yani ukiwa na stress ukinywa tu kila kitu kinakaa poa sana yani unasahau kila kitu ***** binafsi nikilewa nasikia burudani sana ila zingatio usinywe kupita kiasi kunywa kidogo tu kama mimi 😁www.jamiiforums.com
Kwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra!
Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako!
Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, halafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe?
Mhhhhhh!!!??
Wachaga wengi tu pombe zimewaribu na kuwafilisi hasa vijana wanaojitafuta...wachaga wakipunguza pombe hakika watafika mbali sana kimaendeleoHakuna watu wanaotumia pombe na kuabudu kama wachaga.Wanaitumia hadi kwenye matambiko yao lakini check maendeleo yao kuliko wewe mnywa togwa na kukaa kijiweni kupiga majungu na uvivu wa kufanya kazi.
Ni akili yako tu ndg yangu.Wachaga ni wanywa pombe lakini ni hardworkers.
Ni uamuzi wa mtu usichopenda wewe usimlazimishe mwingine afuate matakwa yako.
By the way utakunywaje pombe kupindukia familia inalala na njaa,watoto hawaendi shule.
Ukinywa pombe kise?????????ge ndio inakuwa hivyo.Wewe unakunywa pombe viroba hujala unategemea nini.