NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Hakuna watu wanaotumia pombe na kuabudu kama wachaga.Wanaitumia hadi kwenye matambiko yao lakini check maendeleo yao kuliko wewe mnywa togwa na kukaa kijiweni kupiga majungu na uvivu wa kufanya kazi.
Ni akili yako tu ndg yangu.Wachaga ni wanywa pombe lakini ni hardworkers.
Ni uamuzi wa mtu usichopenda wewe usimlazimishe mwingine afuate matakwa yako.
By the way utakunywaje pombe kupindukia familia inalala na njaa,watoto hawaendi shule.
Ukinywa pombe kise?????????ge ndio inakuwa hivyo.Wewe unakunywa pombe viroba hujala unategemea nini.
Ni akili yako tu ndg yangu.Wachaga ni wanywa pombe lakini ni hardworkers.
Ni uamuzi wa mtu usichopenda wewe usimlazimishe mwingine afuate matakwa yako.
By the way utakunywaje pombe kupindukia familia inalala na njaa,watoto hawaendi shule.
Ukinywa pombe kise?????????ge ndio inakuwa hivyo.Wewe unakunywa pombe viroba hujala unategemea nini.