Narudia tena: Kijana acha uzinzi

Narudia tena: Kijana acha uzinzi

Mimi kazi yangu ni kukuonya kijana uache tabia za uzinzi na ulevi.
Leo nakazia tena hasa kwenye uzinzi.
Kijana acha uzinzi.
Acha uzinzi
Far East ambazo tulipata nazo uhuru miaka ya kufanana, chumi zao zimepaishwa kuwa Tiger Economies na kuvutia uwekezaji mkubwa kutokana na utalii-wa-zinaa.

Nchi hizo zinatufadhili kwa ela hizo hizo za uzinzi. Matajiri na viongozi wakubwa duniani wanaendaga kutalii huko na kuacha ela nyingi.

Oil Age ikikoma Uarabuni (miaka siyo mingi mbele) itawabidi kufuata nyayo za Far East maana hawana rasilimali mbadala wa mafuta.

Mzinzi Rahabu ndiye alisaidia majasusi wa Yoshua mwana wa Nuni kuteka nchi ya Yeriko Yoshua.2:1-24. Watakatifu msiozini mlikuwa wapi?

Kwahiyo labda unamaanisha kwamba Ellon Musk yuko sahihi kwa uwekezaji wa matrilioni ya ela; wa kutengeneza Robot Wives ili uzinzi ukome.

Sasa hivi AI inakuja na mpango wa kufanya death optional (kufa kuwa hiari), hivyo wazinzi wataendelea kuishi tu.

Onyo lako limeakisi maisha ya Agano la Kale ambapo wazinzi walifungiwa mawe ya kusagia shingoni na kuuawa.

Sasa hivi hatuko chini ya Torati tena bali Neema iokoayo bure. Isitoshe bila wadhambi (wakiwemo wazinzi) Yesu hasingeenda Msalabani wala hasingeuijia ulimwengu maana wenye afya hawahitaji tabibu (watakatifu hawamhitaji Yesu).

Uzinzi na ulevi ni subjective not objective.
 
Mimi kazi yangu ni kukuonya kijana uache tabia za uzinzi na ulevi.

Leo nakazia tena hasa kwenye uzinzi.

Kijana acha uzinzi.

Acha uzinzi
Onyo lako limeakisi maisha ya Agano la Kale ambapo wazinzi walifungiwa mawe ya kusagia shingoni na kuuawa. Sasa hivi hatuko chini ya Torati tena bali Neema iokoayo bure. Isitoshe bila wadhambi (wakiwemo wazinzi) Yesu hasingeenda Msalabani wala hasingeuijia ulimwengu maana wenye afya hawahitaji tabibu (watakatifu hawamhitaji Yesu).
 
Una masihara bwana mgambo 'Security' yan tuache kunjunjana, this ka boy

xvv9PCn.gif
 
Pamoja na mengine, ni muhimu kujua Mwandishi anafikiri nini au kwa lugha nyingine, ana Fikira gani Kichwani, hususani kama huwa anawasilisha hoja, taarifa au Ushauri n.k

Naweza kusema kwa 80% hakuna ushauri wowote ule hapa.

Amebadilisha/wamebadilisha lugha tu za matusi dhidi ya Jamii inayolengwa.

Kunywa Uji.😌
 
Nakazia, Uzinzi ni laaana.
Uzinzi ni chanzo cha mikosi na Mifarakano kwenye familia.
Uzinzi huleta Magonjwa, Vifo na Umaskini. JIHADHARI
Kweli ila ukileta njia ya kujinasua hili utakuwa umesaidia wengi! Wengi tunahitaji kutoka huko ila namna sasa ya kutoka ndo mtihani!!
 
Mimi kazi yangu ni kukuonya kijana uache tabia za uzinzi na ulevi.

Leo nakazia tena hasa kwenye uzinzi.

Kijana acha uzinzi.

Acha uzinzi
Leo nimeongea na mademu wawili tofauti wapya. Na wote wapo kwenye 18 zangu. Ila nimepata hofu, nilipomalizana na wakwanza nikaingia JF, nikakutana na uzi huu ukiwa juu kabisa.
Huyu wa pili jioni hii nimemalizana nae nimeingia JF Nakutana tena na uzi huu huu 😮‍💨😮‍💨
 
Back
Top Bottom