Narudia tena: Kijana acha uzinzi

Narudia tena: Kijana acha uzinzi

Leo nimeongea na mademu wawili tofauti wapya. Na wote wapo kwenye 18 zangu. Ila nimepata hofu, nilipomalizana na wakwanza nikaingia JF, nikakutana na uzi huu ukiwa juu kabisa.
Huyu wa pili jioni hii nimemalizana nae nimeingia JF Nakutana tena na uzi huu huu 😮‍💨😮‍💨
Mungu hutumia njia nyingi kuponya watu na misiba.
Acha uzinzi
 
Mimi kazi yangu ni kukuonya kijana uache tabia za uzinzi na ulevi.

Leo nakazia tena hasa kwenye uzinzi.

Kijana acha uzinzi.

Acha uzinzi
Usipambane na tatizo pambana na chanzo cha tatizo, chanzo cha uzinzi ni nini tuanze nacho
 
Back
Top Bottom