Narudia tena: Kijana acha uzinzi

Mungu hutumia njia nyingi kuponya watu na misiba.
Acha uzinzi
 
Mimi kazi yangu ni kukuonya kijana uache tabia za uzinzi na ulevi.

Leo nakazia tena hasa kwenye uzinzi.

Kijana acha uzinzi.

Acha uzinzi
Usipambane na tatizo pambana na chanzo cha tatizo, chanzo cha uzinzi ni nini tuanze nacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ