chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Tatizo la mafundi kukubali ukweli ni mgumu sana. Halafu wanapata pesa kwa kukadilra ndio maana wamelizika.
Mifumo ya magari sasa imebadilika ndio maana Nissan zinawashinda na kuishia kusema kimeo kumbe nyie ni vimeo.
Suala la vifaa ndio kabisa yani namkuta fundi anatumia nyundo kuondoa kitu kwenye matairi mpaka unachoka.
Magari yanayotoka yanatumia electronic na umeme mwingi sana kuliko mlivozoea gari zenu 90.
Kila siku mnaunguza magari ya watu.
Mifumo ya magari sasa imebadilika ndio maana Nissan zinawashinda na kuishia kusema kimeo kumbe nyie ni vimeo.
Suala la vifaa ndio kabisa yani namkuta fundi anatumia nyundo kuondoa kitu kwenye matairi mpaka unachoka.
Magari yanayotoka yanatumia electronic na umeme mwingi sana kuliko mlivozoea gari zenu 90.
Kila siku mnaunguza magari ya watu.