mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Nyundo haiepukiki kwenye ufundi wakuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hata hawa BOSCH wanatumia nyundo?Watu wananunua magari ya gharama ila wanakuwa wabahili kwenda garage za maana kama BOSCH
Hahaha!!Fundi akishabeba nyundo napoteza imani nae namfwatilia kwa ukaribu!!
Gari laini fundi anabeba nyundo kilo za kupasulia mawe
Nyundo unyama sana,,Kuna ball joint hupigwa nyundo hadi zinajieleza zenyewe tuNyundo haiepukiki kwenye ufundi wakuu!
Gari za kisasa, peleka kwa wakala wanaoshughulikia Aina ya gari yako. Ni kweli muda na ugunduzi mpya na wa kisasa unawapita mafundi magari wetu, na wenye uwezo wakizidi kununua magari ya kisasa, si ajabu mafundi wetu wakakosa kazi.Tatizo la mafundi kukubali ukweli ni mgumu sana. alafu wanapata pesa kwa kukadilia ndio maana wamelizika.
Mifumo ya magari sasa imebadilika ndio maana Nissan zinawashinda na kundandia kusema kimeo kumbe nyie ni vimeo.
Swala la vifaa ndio kabisa yani na mkuta fundi anatumia nyundo kuondoa kitu kwenye matairi mpaka unachoka.
Magari yanayo toka yanatumia electronic na umeme mwingi sana kuliko mlivozoea gari zenu 90.
Kila siku mnaunguza magari ya watu.
Ni ukweli na uhalisia mtupu! Nchi nzima ina mifumo iliyopitwa na wakati na bahati mbaya, tunazidi kurudi nyuma!Siyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..
Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
Police kwanza watavuta mkwanja ili mambo yaende, pili huyo fundi hata laki mbili hana [emoji23] [emoji23]Kuna Nissan Dualis ya teacher mmoja hivi alikopa ndo akanunua, ilienda kufia gereji ... Gari ilikuwa na shida ya usukani kumbe ilihitajika matengenenezo madogo tu pamoja na kuweka fluid, fundi kafumua usukani wote, mfumo wote wa umeme ukapiga shoti...
Teacher hakuongea kitu alinyooka moja kwa moja polisi... Sikujua kiliendelea nn
Mfano hii kitu inaitwa UTI kila mahala mimi nadhani ni uongo aisee... Yaani kila mtu ana UTI, mpaka vitoto daaahUmesema kweli hawa watu wa afya wanacheza sana na afya zetu sijui huwa wanashindwa soma vpmo. Ndio maaja watu wanaambiwa magonjwa wasiokuwa nao
Mfano Morogoro nipe gereji classic walau 2, ukiacha wale jamaa wa TOYOTA...Watu wananunua magari ya gharama ila wanakuwa wabahili kwenda garage za maana kama BOSCH
Nadhani anapenda publicity kuna issues yeye angetakiwa tuu kutoa directives kimya kimya na mtu anapandishwa kizimbani...Utawalaumu tu mafundi ila kiukweli Tanzania hatujawahi kua serious kwa kitu chochote,,angalia juzi Waziri mkuu anamuuliza jamaa kwanini amechoma nyaraka za Serikali just imagine, wote mashahidi Waziri wa fedha anaulizwa kuhusu fedha za tozo anajibu trab na truck utasema tupo serious hapo....
Si mnunue full spanner kits kwa yule mzee wa makanikia KC?Nyundo haiepukiki kwenye ufundi wakuu!
Upo sahihi kabisa mkuuSiyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..
Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
Tupo serious na comedy, udaku na kucheka watu wanaokosea....Utawalaumu tu mafundi ila kiukweli Tanzania hatujawahi kua serious kwa kitu chochote,,angalia juzi Waziri mkuu anamuuliza jamaa kwanini amechoma nyaraka za Serikali just imagine, wote mashahidi Waziri wa fedha anaulizwa kuhusu fedha za tozo anajibu trab na truck utasema tupo serious hapo....
Kwamba tires zilikuwa zinapigwa nyundo?
Mafundi wengi wanatumia nguvu nyingi akili 0Mafundi gereji wa chocho wataendelea kupiga hela na kuharibu hizo nissan na pikipiki za boxer 150. Ni watanzania wachache wenye uwezo wa kupeleka magari yao kwenye gereji za professional maana bill zinazotoka huko siyo za kitoto.
Mfumo wa umeme ukipiga short means sensors zote nazo zimepiga shortKuna Nissan Dualis ya teacher mmoja hivi alikopa ndo akanunua, ilienda kufia gereji ... Gari ilikuwa na shida ya usukani kumbe ilihitajika matengenenezo madogo tu pamoja na kuweka fluid, fundi kafumua usukani wote, mfumo wote wa umeme ukapiga shoti...
Teacher hakuongea kitu alinyooka moja kwa moja polisi... Sikujua kiliendelea nn