Kuna fundi pancha aliniharibia rim ya gari ikabd niweke tube tu baadae ninunue ring nyngne. Yan alilipga nyundo sema nlikoma kuanzia siku hiyo nikawa nikitaka badili taili au ina pancha naenda sehemu yenye machine ya kuvua rim tairi
Umesema kweli hawa watu wa afya wanacheza sana na afya zetu sijui huwa wanashindwa soma vpmo. Ndio maaja watu wanaambiwa magonjwa wasiokuwa naoSiyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..
Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
Mafundi wengi badala ya kutibu tatizo wao wanaongeza tatizoSiyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..
Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
Umemaliza kila kitu, watanzania kwa ujumla wetu ni hakuna kitu, ufanisi ni mdogo sana. Walimu, madaktari, mainjinia nk.Siyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..
Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
Mbona garage classic zipo ni pesa yako tu
Sasa police wamsaidie nini,kwani hio gari hapo garage ilijiletaKuna Nissan Dualis ya teacher mmoja hivi alikopa ndo akanunua, ilienda kufia gereji ... Gari ilikuwa na shida ya usukani kumbe ilihitajika matengenenezo madogo tu pamoja na kuweka fluid, fundi kafumua usukani wote, mfumo wote wa umeme ukapiga shoti...
Teacher hakuongea kitu alinyooka moja kwa moja polisi... Sikujua kiliendelea nn
Utawalaumu tu mafundi ila kiukweli Tanzania hatujawahi kua serious kwa kitu chochote,,angalia juzi Waziri mkuu anamuuliza jamaa kwanini amechoma nyaraka za Serikali just imagine, wote mashahidi Waziri wa fedha anaulizwa kuhusu fedha za tozo anajibu trab na truck utasema tupo serious hapo....Tatizo la mafundi kukubali ukweli ni mgumu sana. alafu wanapata pesa kwa kukadilia ndio maana wamelizika.
Mifumo ya magari sasa imebadilika ndio maana Nissan zinawashinda na kundandia kusema kimeo kumbe nyie ni vimeo.
Swala la vifaa ndio kabisa yani na mkuta fundi anatumia nyundo kuondoa kitu kwenye matairi mpaka unachoka.
Magari yanayo toka yanatumia electronic na umeme mwingi sana kuliko mlivozoea gari zenu 90.
Kila siku mnaunguza magari ya watu.
Garage za maana zipo, na mafundi wapo, tatizo ni watanzania wenyewe.Tatizo la mafundi kukubali ukweli ni mgumu sana. alafu wanapata pesa kwa kukadilia ndio maana wamelizika.
Mifumo ya magari sasa imebadilika ndio maana Nissan zinawashinda na kundandia kusema kimeo kumbe nyie ni vimeo.
Swala la vifaa ndio kabisa yani na mkuta fundi anatumia nyundo kuondoa kitu kwenye matairi mpaka unachoka.
Magari yanayo toka yanatumia electronic na umeme mwingi sana kuliko mlivozoea gari zenu 90.
Kila siku mnaunguza magari ya watu.
Nimependa analysis yako, umesema vyema.Siyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..
Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..