Ngozi nyeusi imekukosea nini, yani watu washindwe kusema uchafu wanaokutana nao huko mahospitalini kwakua ni ngozi nyeusi?kwasababu sahivi huumwi siyo? Ngozi nyeusi iskie tu. Ngoja upatwe na chochote mbio kwa madaktari haohao unaowakebehi sasa hivi.
Ahsante, ahsante!Siyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..
Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
Mkuu umenena vema sana.Siyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%.
Kwa nini utasita kidogo kwa Mjerumani?Nyundo haikwepeki..
Hata mimi ningekuwa fundi ukija na Toyota lazima niipige nyundo ili nijue tatizo..Gari ngumu kila mahali..Haina sensors za kugundua tatizo.. Hainyumbuliki.. Lazima uilegeze na nyundo..!
Ila Mjerumani nitasita kidogo..!
Ishu ni aina ya nyundo inayotumika..
Kuna wooden mallet.. rubber mallet..!
Nadhani unazungumzia engine za diezel za miaka ya 90's and before kama vile 1HZ.Nunueni magari ya manual, ya diesel yasiyotumia umeme mwingi
Sababu gari ya akili nyingi.. Nguvu chache..!Kwa nini utasita kidogo kwa Mjerumani?
ni mwendo wa nyundo tu hakuna namnaMajibu yako ni savage… km kweli wew ni fundi garage ukikutana na IST lazima akauze chuma chakavu 😂😂