Narudia tena, Mafundi gereji msipojiongeza mtaishia kutengeneza gari za mwaka 90

Narudia tena, Mafundi gereji msipojiongeza mtaishia kutengeneza gari za mwaka 90

"ooh foreigners wanatajirika kwa ndagu na kuiba na kujuana na wakubwa"[emoji118] wahindi ni waaminifu sana acha tu watoboe. Hawaangalii muonekano na kukuzidishia bei kama wabongo wengi wanavyofanya
Mbongo akikutumia mzigo lazima uwe umepungua
Na kama ni lorry la mizigo utakuta mizigo yako imefungiwa maboksi yaliyotumika na kuchanwa chanwa
Wanapofunga mzigo umeona box gani lina Miraba minane badala ya minne [emoji1] [emoji1787]
Halibebeki na kuli akilibeba bidhaa zako zinachanganyika na pumba za mwingine

Sasa ukilalamika kwa mwenye mali compensation hupati unasikia tu anatukana hao washenzi nawafukuza kazi mbwa hao wananiharibia kazi

Kumbe yeye ndio disorganized
 
Mbongo akikutumia mzigo lazima uwe umepungua
Na kama ni lorry la mizigo utakuta mizigo yako imefungiwa maboksi yaliyotumika na kuchanwa chanwa
Wanapofunga mzigo umeona box gani lina Miraba minane badala ya minne [emoji1] [emoji1787]
Halibebeki na kuli akilibeba bidhaa zako zinachanganyika na pumba za mwingine

Sasa ukilalamika kwa mwenye mali compensation hupati unasikia tu anatukana hao washenzi nawafukuza kazi mbwa hao wananiharibia kazi

Kumbe yeye ndio disorganized
Acha Wahindi watoboe tu. Uaminifu unalipa. Wabongo wengi mi much know mno. Mteja akivaa kawaida wanaongeza bei, na wanakuwa serious balaa. Ila ukienda maduka ya Wahindi hata uvae kishamba utathaminiwa na utauziwa kwa bei halali.
 
Kuna Nissan Dualis ya teacher mmoja hivi alikopa ndo akanunua, ilienda kufia gereji ... Gari ilikuwa na shida ya usukani kumbe ilihitajika matengenenezo madogo tu pamoja na kuweka fluid, fundi kafumua usukani wote, mfumo wote wa umeme ukapiga shoti...
Teacher hakuongea kitu alinyooka moja kwa moja polisi... Sikujua kiliendelea nn
Safi kabisa
 
Siyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..

Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..

Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..

Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..

Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
Unabii na Uganga wa kienyeji ndio wapo professional
 
Na yanakuja magari ya umeme kazi tunayo hawa mafundi wetu hawana idea na haya magari ya umeme kabisa hili ni janga lingine

Tatizo la watanzania sio watu wa kujiongeza
acha uswahili wewe mafundi wapokibao.namfumo wagari niuleule mabadiriko nikidogo sana acha uzwazwa
 
Siyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..

Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..

Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..

Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..

Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
Unamkuta mtu kwenye ofisi yake anayofanya kazi 2-5yrs unaona kabisa hata abcd za ofisi hajui. Unajiuliza sasa huyu hapa anafanya nini humu? Achilia mbali kuhusu profession yake.
 
Back
Top Bottom