Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
HaswaWanakushangaa kwa kuwa wengi ni wajinga waliokimbilia ufundi. Wizi wizi na ujanja ujanja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaWanakushangaa kwa kuwa wengi ni wajinga waliokimbilia ufundi. Wizi wizi na ujanja ujanja tu
Mbongo akikutumia mzigo lazima uwe umepungua"ooh foreigners wanatajirika kwa ndagu na kuiba na kujuana na wakubwa"[emoji118] wahindi ni waaminifu sana acha tu watoboe. Hawaangalii muonekano na kukuzidishia bei kama wabongo wengi wanavyofanya
poleNilipeleka gari service ya kawaida, ugonjwa umekua ukiongezeka kutoka service, plugs, coil, engine, torque converter na mwisho wa siku kubadili mfumo wote wa ignition ( push to start).
pole
Kivipi kaka?nimegundua hapa kuwa wabongo wengi niwashamba wamagari.
sasa mtu analalamika gariyake kupigwa nyundo huyo unamchukuliaje?Kivipi kaka?
Acha Wahindi watoboe tu. Uaminifu unalipa. Wabongo wengi mi much know mno. Mteja akivaa kawaida wanaongeza bei, na wanakuwa serious balaa. Ila ukienda maduka ya Wahindi hata uvae kishamba utathaminiwa na utauziwa kwa bei halali.Mbongo akikutumia mzigo lazima uwe umepungua
Na kama ni lorry la mizigo utakuta mizigo yako imefungiwa maboksi yaliyotumika na kuchanwa chanwa
Wanapofunga mzigo umeona box gani lina Miraba minane badala ya minne [emoji1] [emoji1787]
Halibebeki na kuli akilibeba bidhaa zako zinachanganyika na pumba za mwingine
Sasa ukilalamika kwa mwenye mali compensation hupati unasikia tu anatukana hao washenzi nawafukuza kazi mbwa hao wananiharibia kazi
Kumbe yeye ndio disorganized
Hahaha kwenye scenarios nyingine gari lazima ipigwe nyundo. Nyundo ni equipment ya garage pia na ndiyo maana ikawa pamoja na spanners. Ni kutoelewa tu nafikirisasa mtu analalamika gariyake kupigwa nyundo huyo unamchukuliaje?
Zephyr new model bossunamiliki garigani mkuu?
Inategemea na pesa yako.Gari inatakiwa kuoshwa kwa vitu vipi?
😄😄wanazani gari imeundwa namabampa kila sehemHahaha kwenye scenarios nyingine gari lazima ipigwe nyundo. Nyundo ni equipment ya garage pia na ndiyo maana ikawa pamoja na spanners. Ni kutoelewa tu nafikiri
Safi kabisaKuna Nissan Dualis ya teacher mmoja hivi alikopa ndo akanunua, ilienda kufia gereji ... Gari ilikuwa na shida ya usukani kumbe ilihitajika matengenenezo madogo tu pamoja na kuweka fluid, fundi kafumua usukani wote, mfumo wote wa umeme ukapiga shoti...
Teacher hakuongea kitu alinyooka moja kwa moja polisi... Sikujua kiliendelea nn
Unabii na Uganga wa kienyeji ndio wapo professionalSiyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..
Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
ok Ford hizo gharama.mkuu ukovizuri.Zephyr new model boss
Au kila mwenye tatizo la nguvu za kiume tunaambiwa alikua mpiga masturbationMfano hii kitu inaitwa UTI kila mahala mimi nadhani ni uongo aisee... Yaani kila mtu ana UTI, mpaka vitoto daaah
acha uswahili wewe mafundi wapokibao.namfumo wagari niuleule mabadiriko nikidogo sana acha uzwazwaNa yanakuja magari ya umeme kazi tunayo hawa mafundi wetu hawana idea na haya magari ya umeme kabisa hili ni janga lingine
Tatizo la watanzania sio watu wa kujiongeza
Huko kwa wanasheria sasa na mahakimu🤣🤣🤣Umemaliza kila kitu, watanzania kwa ujumla wetu ni hakuna kitu, ufanisi ni mdogo sana. Walimu, madaktari, mainjinia nk.
Unamkuta mtu kwenye ofisi yake anayofanya kazi 2-5yrs unaona kabisa hata abcd za ofisi hajui. Unajiuliza sasa huyu hapa anafanya nini humu? Achilia mbali kuhusu profession yake.Siyo mafundi tu; binafsi hapa Tanzania naona Kada zote hufanya kazi zao kwa kubahatisha..
Hata hawa Madaktari wetu, wengi wanabahatisha kwenye kutibu wagonjwa..
Wanasiasa ndiyo usiseme, na Uchawi wanatumia ili kufanikisha siasa zao Uchwara..
Tanzania ni maeneo machache sana wanazingatia Professionalism kwa asilimia 100%..
Nadiriki kusema Ikulu yetu pamoja na Wizara na Ofisi zote za Umma ndiyo Vinara wa kufanya mambo Kikanjanja kanjanja..
Uswahili upi we ndo mjinga watu msiomiliki magari mnashida sana, mfumo wa umeme uko tofauti sana na WA diesel/petrolacha uswahili wewe mafundi wapokibao.namfumo wagari niuleule mabadiriko nikidogo sana acha uzwazwa