Narudia tena na tena mechi za mikoani ndizo zitakazoamua bingwa kwa mara nyingine

Narudia tena na tena mechi za mikoani ndizo zitakazoamua bingwa kwa mara nyingine

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nafikiri tunaanza kuelewana mdogo mdogo, Yanga mikoani kavuna alama 18 mechi 6, Simba mikoani kavuna alama 5 mechi 3, kadondosha alama 4.

Mzunguko wa kwanza Yanga atakuwa kacheza mechi 8 viwanja vya mikoani na Simba atakuwa kacheza mechi 5 viwanja vya mikoani, kwa maana hiyo mzunguko wa pili Yanga atacheza mechi 8 na timu za mikoani pale kwa Mkapa na Simba atacheza mechi 8 kule mikoani.

Kimahesabu, wenye akili timamu na wenye uwezo wa kuchanganua mambo watakuwa wanayo majibu ya nini kinaenda kutokea mwisho wa msimu.
 
Kwa hiyo kwenye majaruba ndio kuna amua nani awe bingwa. Hakika hii ligi ya hovyo sana na kuna timu inaona ina kiwango kupata matokeo kwenye matope.
 
Kwa hiyo kwenye majaruba ndio kuna amua nani awe bingwa. Hakika hii ligi ya hovyo sana na kuna timu inaona ina kiwango kupata matokeo kwenye matope.
Wewe unashindwa nini kupata ayo matokeo kwenye majaruba? Wenzako wanatwanga kote kote iwe mikoani ama kwa mkapa sasa wewe endelea kutafuta matokeo kwa mkapa tu tuone utafika wapi kama sio kugombania nafasi ya 6 na wakina Namungo
 
Wewe unashindwa nini kupata ayo matokeo kwenye majaruba? Wenzako wanatwanga kote kote iwe mikoani ama kwa mkapa sasa wewe endelea kutafuta matokeo kwa mkapa tu tuone utafika wapi kama sio kugombania nafasi ya 6 na wakina Namungo
Miaka zaidi ya 80 tangu muanzishwe hayo matokeo ya Mikoani yamewafikisha wapi?
 
Nafikiri tunaanza kuelewana mdogo mdogo, Yanga mikoani kavuna alama 18 mechi 6, Simba mikoani kavuna alama 5 mechi 3, kadondosha alama 4.

Mzunguko wa kwanza Yanga atakuwa kacheza mechi 8 viwanja vya mikoani na Simba atakuwa kacheza mechi 5 viwanja vya mikoani, kwa maana hiyo mzunguko wa pili Yanga atacheza mechi 8 na timu za mikoani pale kwa Mkapa na Simba atacheza mechi 8 kule mikoani.

Kimahesabu, wenye akili timamu na wenye uwezo wa kuchanganua mambo watakuwa wanayo majibu ya nini kinaenda kutokea mwisho wa msimu.
Acha inyeshe tujue panapo vuja
 
Azam bingwa tuna wachezaji wazoefu mechi za mikoani kina Cleofas mkandala,chilunda,khader ,Nado nk
 
Wewe umefika wapi? Tuonyeshe kombe ulilobeba la kufika robo fainali ya caf, Sijawai kuona kombe la robo fainali tokea nizaliwe maana ndo kichaka mlichobaki nacho kwa sasa
Aaaah jibu kilichoulizwa. Matokeo mazuri ya kwenye majaruba yamewafikisha wapi?
 
Back
Top Bottom