Narudia tena na tena mechi za mikoani ndizo zitakazoamua bingwa kwa mara nyingine

Narudia tena na tena mechi za mikoani ndizo zitakazoamua bingwa kwa mara nyingine

.
FB_IMG_1669293076183.jpg
 
Miaka zaidi ya 80 tangu muanzishwe hayo matokeo ya Mikoani yamewafikisha wapi?
Nyie mnavoshinda kwa mkapa mmefika wapi?

Mashabiki wa Simba wengi ni wajinga na wanaendeshwa na propaganda za kufika hatua ya makundi club bingwa.

Tanzania hakuna team yenye mafanikio club bingwa au shirikisho. Makundi nayo ni mafanikio? Huu ujinga sijui utaisha lini!
 
Nyie mnavoshinda kwa mkapa mmefika wapi?

Mashabiki wa Simba wengi ni wajinga na wanaendeshwa na propaganda za kufika hatua ya makundi club bingwa.

Tanzania hakuna team yenye mafanikio club bingwa au shirikisho. Makundi nayo ni mafanikio? Huu ujinga sijui utaisha lini!
Ujinga unao wewe ambae ni miongoni mwa wanaoamini unbeaten ya yanga ligi ya NBC ni mafanikio kuliko hata kuingia makundi CAF champions.
Vile vile wewe ni mjinga maana unaamini kufanikiwa lazima ubebe kombe. Hujui kama kufanikiwa kuna viwango. Akili zako hazijui kama taifa stars ikifuzu kushiriki world cup tayari ni mafanikio .Hakika wewe ni utopolo.
 
Ujinga unao wewe ambae ni miongoni mwa wanaoamini unbeaten ya yanga ligi ya NBC ni mafanikio kuliko hata kuingia makundi CAF champions.
Vile vile wewe ni mjinga maana unaamini kufanikiwa lazima ubebe kombe. Hujui kama kufanikiwa kuna viwango. Akili zako hazijui kama taifa stars ikifuzu kushiriki world cup tayari ni mafanikio .Hakika wewe ni utopolo.
Unajiita timu kubwa unaona kuingia makundi ni mafanikio? aishi miaka mingi mzee Rage
 
Timu inatakiwa ijiandae kucheza mechi kiwanja chochote kile.
Hupaswi tegemea kiwanja cha Dsm pekee.
 
Unajiita timu kubwa unaona kuingia makundi ni mafanikio? aishi miaka mingi mzee Rage
Ndio ni mafanikio lakini sio kwa kiwango kikubwa na ndio maana mashabiki hawakusanyiki airport kuipokea timu inapotolewa hatua ya robo fainal au kuzunguka mtaani kushangilia robo fainal.

Nyinyi ambao ni timu kubwa na kufanikiwa kwenu ni mpaka mchukue kombe, sasa kipi kilichowafanya mkusanyike airport kuipokea timu yenu ilipotoka Tunisia? Hakika utopolo ni utopolo.
 
Back
Top Bottom