Teh kwa ninavyowajua wabongo watakuwa radhi wapande ya mia nne hayo ya buku yatakuwa yanazunguka matupu tuDawa kuwe na mabasi ya aina mbili. Kajamba nani ambayo nauli ni 400 na Classic ambayo nauli ni buku ila mnakaa level seat.
Wewe ni masikiniKutumia tecno au infinix ni umaskin kivip?dogo acha ulimbuken wenye pesa wanatumia simza kawaida tu ila maskn ndo mbwembwe kibao
anakaa wapi huyoSio kweli.
Kuna bosi mmoja mkinga ,
Ana magari mengi tu,
Naona anayapaki tu na kwenye mwendokasi anadandia.
yalikuwepo kipindi flaniDawa kuwe na mabasi ya aina mbili. Kajamba nani ambayo nauli ni 400 na Classic ambayo nauli ni buku ila mnakaa level seat.
Hivi mkuu kumiliki gari la 4 millions ndy Tajiri?Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu. Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagara, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
hiyo classic ianzie 2000 au 3000, mtu unaendaje km 35 kwa 1000??? mbona mikoani ni zaidi ya hiyo?Dawa kuwe na mabasi ya aina mbili. Kajamba nani ambayo nauli ni 400 na Classic ambayo nauli ni buku ila mnakaa level seat.
Huyo atakuwa anajifunza gari, kwani hilo gari ni semiUsumbufu wa kuendesha?
Yaani unaona bora ubanwe kwenye daladala na kila aina ya kadhia kisa gari linakusumbua kuendesha?
Mwanafunzi wa chuo huyoKutumia tecno au infinix ni umaskin kivip?dogo acha ulimbuken wenye pesa wanatumia simza kawaida tu ila maskn ndo mbwembwe kibao
Aisee...watu wa uchumi WA juu mna mbwembweBora nichukue Uber kuliko dalax2 😁
Usihofu ni mazoezi hayo.Mkuu umenikumbusha machungu...leo nimesimama kuanzia kariakoo hadi chanika
Ndio utaratibu mkuu usipanic sana,Kulikuwa na ulazima wa kutaja kabila?
Ukweli mchungu,daladala ni usafiri wa kifukara sana,na watu wanakuwa na hasira,msongo balaaa,ukimgusa mtu na begi,anaweza akakuporomoshea matusi hatari!Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu. Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagara, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Ndio, hata sisi matajiri tunapanda daladala, kuwa na amani.Kwahiyo tajiri apigane vikumbo kugombea daladala?
Ahahahahaha.Mkuu umenikumbusha machungu...leo nimesimama kuanzia kariakoo hadi chanika
Kuna mtu anamiliki nyumba nne mjini lakini anatumia usafiri wa daladala, huyo tumweke kundi gani?
Mwenzako kapaki range Rover ya mwaka 2019.
Uko sahihi.Teh kwa ninavyowajua wabongo watakuwa radhi wapande ya mia nne hayo ya buku yatakuwa yanazunguka matupu tu
Point ya msingi sio kuogopa macho ya watu, ishu ni zile adha zinazopatikana kwenye usafiri wa daladala...zile habar za kushikilia bomba gari imeshona had mlangoni halafu mnakaa kwenye folen nusu saa nzima, kupambana mlangoni uwahi siti, au ukikaa ile siti ya katikati mtu anakuja na begi au mfuko wake anaushikilia hapo hapo karibia na kichwa chako...kuna baadhi ya maeneo ukiishi unawaza hata kuvaa baadhi ya nguo kwa sababu itarud haitamaniki,plus kupangwa kama nyanya na makonda na walivyo na mdomo mchafu ukizingua kidogo mnaharibiana siku ,..ni obvious ukiwa na uwezo mzur utawaza alternative ways za usafiri mjini ..iwe ni kutumia gari yako ,au ubber ili kuepuka habar za kupangana kwenye folen ndeefu pale gerezan kwenye mwendo kasiSijawahi kufuatilia kujua rank ya umaskini kwa Tanzania unaanzia mtu awe/apate bei gani kwa siku au amiliki nini ili kumtofautisha na wale hohehae!
Mf;wapo watu a'cally kutokana na mazingira waliyoishi/kulia yaliwafanya kuwa tu social,uwezo wa kuhudumia gari wanao even kumiliki hizi baby walker zaidi ya moja wanao ila haiingii akilini eti mtu ujibane ili ununue gari kwa kuogopa kupanda daladala,maisha ni yako ninyi mnaoona aibu kupanda daladala mnaogopa macho ya watu hamjui kwamba mumiliki gari au musimiliki gari hamuwapunguzii wala kuwaongezea chochote wale mnaohisi wanawatazama.
Mimi nina Bajaj tatu mpya zinazunguka barabarani ila ukinikuta kwenye Mwendokasi kama siyo mimi vile yote ni kwa sababu naishi maisha yangu Tanzania hii ukiogopa ogopa vitu vidogo vidogo kama kupanda public buses kuna baadhi ya vitu vitaku-cost.