Narudia tena, Usafiri wa daladala hapa Dar es Salaam ni kwa ajili ya watu masikini

Pia unaweza kutushauri kuwa maisha si Dar pekee. Mikoani kuna maisha burdani sanaaa.
 
Straight forward!!!
 
"We need to teach our generation that owning a car is not a symbol of success, and walking does not mean poverty"-The Late Nelson Mandela.
 
KUKATWA KIDOLE NA MLANGO WA MWENDOKASI IS ALMOST IMPOSSIBLE SABABU ILE NI RUBBER

ILA MENGINEYO NI UKWELI MTUPU

UMESAHAU KUBAMBIWA
 
Dawa ni kupunguza Kasi ya kuzaliana. Watanzania million 60 ni sawa sawa na mataifa mawili, ndio maana watu wanapambana kupunguza idadi ya watu Duniani.
 
Upo sahihi kabisa. Sababu ni serikali yako. Usafiri umefanywa kuwa anasa badala ya hitaji muhimu la watu.

Nchi zilizoendelea magari ni hitaji la muhimu
Hatuna barabara sheikh...wakiondoa Kodi Za magari mtayaendesgea wapi?assume Hadi Fundi viatu kapaki gari nje barabara zitatosha?
Hizi zilizopo Tu kwanza hazitoshi
 
Hata tajiri ni maskin mtarajiwa na maskin anaweza kuwa tajiri mtarajiwa usitukane Mamba kabla hujavuka mto dogo maliza chuo uje kwa ground tuonyeshane makali hivyo vihela hela unavyo pewa kwa mkopo vnakufanya ujione tajiri humu[emoji16]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Umeingiza sh ngapi kwa kuongea hizo pumba? Tafuta hela kijana acha kulialia... Umasikini Unanuka, Umasikini sio sifa, Umasikini sio fahari ya kujivunia!

Wewe ni masikini

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Hata tajiri ni maskin mtarajiwa na maskin anaweza kuwa tajiri mtarajiwa usitukane Mamba kabla hujavuka mto dogo maliza chuo uje kwa ground tuonyeshane makali hivyo vihela hela unavyo pewa kwa mkopo vnakufanya ujione tajiri humu[emoji16]
Chuo nimeshasahau hata nilisomea nini, mavyeti yapo huko kabatini yanakojolewa na mende mimi nipo nakula faida wewe unasema tukutane ground [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Fanya Biashara acha kulialia

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Aliyekuambia ukaishi mbagala ndio kakuponza ila usijali, BRT inakamilika soon

Si uishi Kimara ama Morogoro Rd?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…