Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Tests za kwenda mwezini na kurudi remotely au unaongelea tests za hapahapa duniani?Apollo mission ilitumia Saturn V rockets ambazo zilishaanza kutumika tangu 1967 hivyo zilishafanyiwa tests.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tests za kwenda mwezini na kurudi remotely au unaongelea tests za hapahapa duniani?Apollo mission ilitumia Saturn V rockets ambazo zilishaanza kutumika tangu 1967 hivyo zilishafanyiwa tests.
Kwenda angani na mwezi upo anganiTests za kwenda mwezini na kurudi remotely au unaongelea tests za hapahapa duniani?
Watakwendaje wataruka na mabawa kama njiwa? Urusi hawauzii tena RD Engine labda waende mwezi wa Hollywood na mabasiMiaka karibu 50 tangu kile kilichoelezwa kusitishwa kwa safari za kwenda mwezini mwaka 1972,sasa kituo cha anga cha NASA kimesema kinataraji kurejea safari hizo hivi punde.
Hapo Jumatatu chombo kinachotajwa kuwa na nguvu kubwa kiitwacho Artemis kitafanya safari za majaribio kwenda karibu na mwezi kuangalia usalama wa kupeleka tena watu siku zijazo. Mamilioni ya watu duniani akikwemo makamu wa raisi wa Marekani Kamala Harris watashuhudia tukio hilo kutokea kituo cha utafiti wa anga cha Kennedy jiijini Florida.
View attachment 2338145
baki hivyo hivyoHakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Sijui kwa nini unaona ni shida kuwadanganya mamilioni ya watu.Ukiwa muongo sana na wanaokusikiliza ni wajinga sana katika fani unayowaongopea mafanikio ni makubwa sana. Umetaja Urusi na China kama ingekuwa ni hoax wasingenyamaza..Labda unaona wao wameendelea sana kielimu kuliko watu wengine tuliodanganywa.Ukweli ni kuwa warusi hasa wazee walioshuhudia igizo hilo walipofanyiwa sensa idadi kubwa walisema hakuna kilichotokea mwaka huo 1969 kuhusu kutua mwezini.Kama ingekuwa ni rahisi kupeleka mtu mwezini mwaka huo basi wangefanikiwa warusi kumpeleka Yuri Gargarin kwani warusi walikuwa wameendelea sana katika teknolojia za anga kuliko Marekani kwa miaka mingi na walishindwa kumpeleka Yuri walipodhamiria hasa kuwa wa mwanzo kufanya hivyo.Na sijui unajua kuwa hivi sasa Urusi iko mbali sana kwa teknolojia za anga za mbali kuliko .Ushahidi wa hilo ni kuwa kituo cha ISS kinamilikiwa na Urusi kwa miaka yote hiyo na wanaanga wa Marekani wakitaka kwenda huko wamekuwa wakipewa lift mpaka mwaka jana ndio wameweza kutumia chombo chao na hawatui mpaka waunganishwe na mrusi.Karibuni palipotokea majibizano kati yao kuhusiana na Ukraine ,Urusi ilitishia kuwatimua wamarekani kutoka kituo hicho. Afadhali China imeshaanza kujenga kituo chake mfano wa ISS wakati Marekani hawana kitu kama hicho..
Unajua kutua na kuondoka kutoka ISS kunahitaji teknolojia kubwa sana ambayo Marekani baada ya miaka mingi kufadhiliwa na Urusi ndio nao wamefanikiwa.Wangewezaje kuwa na teknolojia ya kutua na kuruka tena kutoka mwezini mwaka huo 1969..Buzz Aldrin anasema walipata tabu kutua kituo walichokusudia cha Tranqulity mpaka mafuta yakabaki ya kutosheleza sekunde 15.Walipata wapi hiyo nguvu ya kuruka tena kuishinda japo 1/6 ya moon gravity.
Soma hapo U.S. moon landing was a hoax, half of Russians believe
TECH & SCIENCE
U.S. Moon Landing Was a Hoax, Half of Russians Believe
BY HANNAH OSBORNE ON 7/30/20 AT 6:17 AM EDT
SHARE
Share on FacebookShare on TwitterShare on LinkedInShare on RedditShare on FlipboardShare via EmailComments
TECH & SCIENCECONSPIRACYNASARUSSIASPACE RACE
Just under half of Russians think the U.S. moon landing in 1969 was a government hoax, a poll has found. In a survey of 1,600 adults in Russia, researchers also found only 31 percent believe American astronauts landed on the moon in the last century.
The moon landing, where Neil Armstrong and Buzz Aldrin became the first people to set foot on the lunar surface, took place during the space race between the U.S. and Russia. Both nations were vastly expanding their space programs, with Russia having become the first country to send a person—cosmonaut Yuri Gagarin—into space eight years earlier.
Soon after the moon landing, the Soviet Union denied it had been in a space race with the U.S., either claiming they had no lunar program or criticizing NASA's efforts. Some politicians in America use the denials from Russia to claim U.S. officials had invented the race to justify the millions invested in advancing the lunar program. It would be decades before the Soviets confirmed they had been attempting a moon landing. In 1989, the New York Times published an article titled "Russians Finally Admit They Lost Race to Moon."
NEWSWEEK NEWSLETTER SIGN-UP >
READ MORE
Conspiracies about whether the moon landing was faked emerged in the years that followed the Apollo 11 mission. In 1976, Bill Kaysing self-published a pamphlet called "We Never Went to the Moon: America's Thirty Billion Dollar Swindle" in which he set out claims against the authenticity of the evidence presented. All his points, such as the flag appearing to wave despite the absence of a breeze, have been debunked by scientists.
- We Are in a New Space Race, and America Needs to Win
- Donald Trump's Plans for Mining the Moon Edge Closer with 'Artemis Accords'
- Weird Green Gel-like Substance China Found on Moon Identified by Scientists
But the conspiracy stuck. In 1999 a Gallup poll showed that around five percent of Americans believed the moon landing was a hoax. Twenty years later, a survey by C-SPAN and Ipsos showed this figure had remained stable, with 6 percent of people saying they believe the event was staged. The poll showed belief was higher among younger people, compared with over 50s.
In Russia, support for the conspiracy was far higher. In 2018, Dmitry Rogozin, head of Russia's space agency Roscosmos, was asked whether there are plans to go to the moon. In response, he joked they would go to check if the moon landings were real: "We have set this objective to fly and verify whether they've been there or not."
NEWSWEEK SUBSCRIPTION OFFERS >
The latest poll, by the Russia Public Opinion Research Center (VCIOM), shows belief in the moon landing hoax theory is now falling. In 2018, 57 percent believed the Apollo 11 landing was faked. People aged 45 and over were most likely to believe it was a hoax.
The VCIOM poll, which looked at belief in conspiracy theories, covered topics including the safety of vaccines, whether the Earth was flat and whether aliens have visited Earth.
On the latter subject, 13 percent said representatives of extraterrestrial civilizations visit our planet but that this is hidden from the public by authorities. Twenty three percent say aliens visit Earth but hide from us. Forty eight percent said aliens either do not exist or do not visit Earth.
Punguza ganja mkuuHakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Hapa unatumia mantiki kwamba unawezaje kuwadanganya watu wote hao.Hii ni ndogo kuliko mantiki nyengine .Kama walikwenda na kurudi mwezini enzi hizo kwanini iwe shida kufanya hivyo sasa.Ukichanganya hilo ulilosema na hoja za waliotilia shaka kutokujibiwa ipasavyo utaona moja kwa moja kuwa hawakwenda mwenzini mwaka 1969.Hivi unawezaje kuidanganya dunia nzima!? Unawezaje kufanya siri japo lililohusisha maelfu kama sio malaki ya watu wote walioshiriki kufake ile event na kuweza kuwanyamazisha wote wasiongee. Hebu mtu anifafanulie how is this possible.
Faida zilishawekwa wazi kuwa ni mashindano wa nani atakuwa wa mwanzo kwenda mwezini.Kwa kuamini kuwa Marekani ilikwenda mwezini wamefaidika sana kuitawala dunia kwa miaka zaidi ya 50.Kila mtu amependa awe mmarekani na ale wanachokula Marekani.Aimbe na kutembea kama Mmarekani.Uchumi wake umekuwa sana kwa kipindi hicho.Tatizo walicheza faulu ili kushinda. Hata mwanao akipata cheti kwa kuibia mtihani iko siku atajulikana kuwa aliiba pale atakaposhindwa na hesabu ndogo akifika kituo cha kazi.Kwa nini Wamarekani wafanye igizo la kwenda mwezini ? Wananufaikaje na igizo kama hilo?
Faida zilishawekwa wazi kuwa ni mashindano wa nani atakuwa wa mwanzo kwenda mwezini.Kwa kuamini kuwa Marekani ilikwenda mwezini wamefaidika sana kuitawala dunia kwa miaka zaidi ya 50.Kila mtu amependa awe mmarekani na ale wanachokula Marekani.Aimbe na kutembea kama Mmarekani.Uchumi wake umekuwa sana kwa kipindi hicho.Tatizo walicheza faulu ili kushinda. Hata mwanao akipata cheti kwa kuibia mtihani iko siku atajulikana kuwa aliiba pale atakaposhindwa na hesabu ndogo akifika kituo cha kazi.
Duh nimeuliza humu USA amepata Ingine za kwenda huko bila kumtegemea Urusi nikapatiwa majibu mepesi mepesi.,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watakwendaje wataruka na mabawa kama njiwa? Urusi hawauzii tena RD Engine labda waende mwezi wa Hollywood na mabasi
Ami Kuna post umeelezea chombo cha USA kinavujisha hewa wakahairisha safari ya kwanza,ya pili Tena tatizo hilohilo,huoni janja Yao ya kwenda huko kukosa engine Urusi,,,,nyoosha maelezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watakwendaje wataruka na mabawa kama njiwa? Urusi hawauzii tena RD Engine labda waende mwezi wa Hollywood na mabasi
Wanarukaruka kama bisi labda waende HollywoodAmi Kuna post umeelezea chombo cha USA kinavujisha hewa wakahairisha safari ya kwanza,ya pili Tena tatizo hilohilo,huoni janja Yao ya kwenda huko kukosa engine Urusi,,,,nyoosha maelezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya ni mawazo yako wewe sio ya dunia nzimaFaida zilishawekwa wazi kuwa ni mashindano wa nani atakuwa wa mwanzo kwenda mwezini.Kwa kuamini kuwa Marekani ilikwenda mwezini wamefaidika sana kuitawala dunia kwa miaka zaidi ya 50.Kila mtu amependa awe mmarekani na ale wanachokula Marekani.Aimbe na kutembea kama Mmarekani.Uchumi wake umekuwa sana kwa kipindi hicho.Tatizo walicheza faulu ili kushinda. Hata mwanao akipata cheti kwa kuibia mtihani iko siku atajulikana kuwa aliiba pale atakaposhindwa na hesabu ndogo akifika kituo cha kazi.
Hivi unajua licha ya kwamba teknoloji imekuwa kubwa sana sasa hivi lakini Hollywood haijaweza kutengeneza picha yoyote inayoweza kuendana na mazingira ya space kiujumlaWanarukaruka kama bisi labda waende Hollywood
analeta ujuaji wa udini humu aende kwenye group la diniSpace X na NASA wamemzidi ujanja Allah maana wanakatiza mbuga za Mars huko.
Kuna mmoja anayetetea igizo lile la Apollo anasma Apollo zilitumia rocket za Saturn ambazo zilikwishajaribiwa sana kwa hivyo hakukuwa na haja ya kwenda kukagua na kurudi kama mwaka huu. Iwapo ni hivyo basi si wazitumie tena hizo roketi za Saturn.Au walizipeleka wapi na ndio sasa zinahitajika zaidi.Ami Kuna post umeelezea chombo cha USA kinavujisha hewa wakahairisha safari ya kwanza,ya pili Tena tatizo hilohilo,huoni janja Yao ya kwenda huko kukosa engine Urusi,,,,nyoosha maelezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]