Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
MSANII Naseeb Abdul (Diamond) leo anashikiliwa na polisi, siku moja tu baada Meneja wake Babu Tale kuhojiwa na kulala mahabusu kuhusiana na matumizi ya mavazi ya kijeshi katika onyesho la Fiesta mwishoni wiki.
Habari zaidi zitafuata.
acheni uongo nyie... alipewa kibali... kumchafua tuu ndo mjuavyo
Huyu raia anayetamani combat halafu anaidhalilisha kwa kukata nayo mauno jukwaani dawa ni JKT mwaka mzima. Akitoka ataiheshimu combat.
Kwa hili navilaumu vyombo vya habari kwa kulikuza maana sijui kama ni kosa kuubwa kiasi hicho!
Kwa hili navilaumu vyombo vya habari kwa kulikuza maana sijui kama ni kosa kuubwa kiasi hicho!
acheni uongo nyie... alipewa kibali... kumchafua tuu ndo mjuavyo
Ukicheka na mbwa atakufuata msikitini! hawa kina Diamondo and the so called No school billioneas; mamlaka zikicheka cheka nao sana haya ndio matokeo; kanafikiri nchi iko mfukoni mwake. kama CDM kuandamana ni kuvunja sheria basi kuvaa sare za jeshi ni kuvunja sheria pia tumeambiwa hivyo, sasa hebu tuone kama PoliCCM watamgwaya "prezida" wa bongo flava!