Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

Wamemuita wamuone tu si unajua star yule wengi wanamuona kwa Tv tu
 
Hili swala la uniforms za majeshi kuna watu wanalichukulia kimzaha sana lakini lina umuhimu mkubwa sana kuwazuai askari tu ndo wavae nguo zao. Hivi karibuni tumeona mlipuko wa wimbi la majambazi. Tukiruhusu hizi uniforms zizagae kwa wananchi majambazi nayo yatatumia mwanya huo huo na hatajulikana nani askari na nani si askari.
Aah si kweli mkuu, majambazi wengi wanavaa suti.
 
Nashangaa mijitu inayo mdisi jamaa ! kama itaendelea ivo aisee tanzania kila kitu tutabak nyuma aisee wandugu
 
kama aliataka kuvaa ngua za jeshi si angevaa za mabaka meupe kama zile za jeshi la marekani? au ni kosa kisheria kuvaa nguo za jeshi hata la marekani au la russia?
 
Wanasheria watapangua, si mimi ila pale mwanzoni naona kabisa inaestablish msingi wa kosa. "For the purpose of..." kama wakili akiweza kuthibitishi beyond any reasonable doubt kuwa purpose haikuwa hizo zinazotajwa au haikuwa na ubaya wote, the guy walks! Mind you, I am not a supporter of civilians throwing-on military attire FOR ANY PURPOSE. Naongelea tu s uzoefu wa jinsi serikali imekuwa ikishindwa kesi nyingi kwa kigezo cha makosa na udhaifu wa sheria husika.

purposive approach itatumika kutafsiri hapo hawez chomoka, tutaangalia lengo la kuitunga sheria ilikua n nn na hapo lengo n kuzuia kuvaa hzo nguo kwa m2 asokua asikar, lazima atiwe nguvun kama wakiamua
 
Apigwe viboko 12 Uwanja wa taifa na iwe fundisho kwa wengine ? kwani Gauni lake aliazima nani ?
 
MSANII Naseeb Abdul (Diamond) leo anashikiliwa na polisi, siku moja tu baada Meneja wake Babu Tale kuhojiwa na kulala mahabusu kuhusiana na matumizi ya mavazi ya kijeshi katika onyesho la Fiesta mwishoni wiki.

Habari zaidi zitafuata.

diamond3.jpg

utaskia wanamtafuta wakati kavunja sheria
 
Akili ndogo... Wanashindwa kuelewa kwa nini jeshi linazuia uvaaji wa sare zake kwa wasiohusika.
 
ila sheria znaruhusu endapo alikuwa na kibari nothng to judge kuhusu ilo

Hakuna kitu kama hicho, jana kuna mkubwa mmoja wa jeshi aliulizwa na radio 5, akasema yeye hajawahi kusikia sheria hiyo hapa tz kama kuna kibali mtu anapewa ili kutumia sale hizo!! Labda we mwenzetu unajua zaidi yake
 
Huu ni upuuzi ambao upo nchi zetu tu kuwa mtu akiivaa vazi la jeshi ni kosa - ni dallili kuwa bado tupo ukingoni wa kutoendelea - ni kosa mtu kutumia mavazi kwa njia ya kihalifu. Nchi zingine kuna maduka yanauza nguo hizi
images
 
Nashangaa mijitu inayo mdisi jamaa ! kama itaendelea ivo aisee tanzania kila kitu tutabak nyuma aisee wandugu

ebu fafanua zaidi,wasipo mdisi maendeleo yanakujaje?.Lililo wazi ili kuwepo maendeleo nilazima ziwepo nguvu kinzani
 
MSANII Naseeb Abdul (Diamond) leo anashikiliwa na polisi, siku moja tu baada Meneja wake Babu Tale kuhojiwa na kulala mahabusu kuhusiana na matumizi ya mavazi ya kijeshi katika onyesho la Fiesta mwishoni wiki.

Habari zaidi zitafuata.

diamond3.jpg
show zenyewe back up cd badala ya kuweka live band. diamond mwenyewe hajui hata kupiga filimbi ndio stars wa bongo!
 
Back
Top Bottom