Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

Dogo mikosi inamuandama sana mwaka huu!! Mara kazomewa jukwaani hajakaa sawa mara limezuka la sare za jeshi, ni sheedah
 
Mbona mibuti yao imejaa ubungo na inauzwa km njugu? halafu mbona wenyewe wanazitumia kufanya uhalifu? tena mpaka silaha!
 
wanatumia nguvu nyingi sana!! ili kumuangusha,,! lakn naamini kwa nguvu za mwenyezi mungu hatamudhuru!! lolote.
 
ni heri angeshikiliwa na wana JWTZ wenyewe ndo haki ingetendeka kuliko huko polic . itaishia juu kwa juu tu.
 
kwenye motive mkuu cort hailumuhukumu kwa motives za kilaghai. walisema hata kama alikuwa hana nia ya kutumia vibaya magwanda such as kufanya uharifu , na alitaka kuzitumia kwa wema tu lakini he shall be sentenced according. Tena cort ilitoa vizuri sababu ya hukumu kwamba si kwasababu ya yaliyopita Bali ni fundisho kwa wengine.
Hazikuwa halisi zilifanana

Ok, nashukuru kwa ufafanuzi. That puts the two cases on square level. Let's wait and see.
 
Achezi uzombi,diamond alipewa ruhusa kuvaa hzo nguo za jeshi,tatzo la wabongo ni wanafike wakubwa
 
purposive approach itatumika kutafsiri hapo hawez chomoka, tutaangalia lengo la kuitunga sheria ilikua n nn na hapo lengo n kuzuia kuvaa hzo nguo kwa m2 asokua asikar, lazima atiwe nguvun kama wakiamua

Tunaita `intention of the statute`
 
MSANII Naseeb Abdul (Diamond) leo anashikiliwa na polisi, siku moja tu baada Meneja wake Babu Tale kuhojiwa na kulala mahabusu kuhusiana na matumizi ya mavazi ya kijeshi katika onyesho la Fiesta mwishoni wiki.

Habari zaidi zitafuata.

diamond3.jpg

Wanamshikilia au wanampigisha mbizi kwenye dimbwi pale kariakoo?
 
the National Security Act provides that;

6.-(1) Any person who, for the purpose of gaining or assisting any other person to gain admission to a protected place or for any other purpose prejudicial to the safety or interests of the United Republic-

(a) without lawful authority uses or wears any uniform of the Defence Forces or of the Police Force or any other official uniform of the United Republic or any uniform so closely resembling the same as to be likely to deceive, or falsely represents himself to be a person who is or has been entitled to wear or use any such uniform; or

.............
......................
..............
shall be guilty of an offence and liable on conviction to imprisonment for a term not exceeding twenty years......

KWA SHERIA HII HAKUNA KITU HAPO....

Kumbe sheria inaruhusu kuvaa ila usivae kwa kujaribu kufanya uharifu au kuficha identity yako, mbona yule mkuda alimpigisha mbizi yule dogo pale kariakoo bila kosa lolote, dogo alifungulie jeshi mashitaka hii sio sawa.
 
Back
Top Bottom