Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

Huyo dogo anadhan sar z jesh znavaliwa krahc!achukuliwe hatua coz nidhan hakuna kbsa....
 
Ukicheka na mbwa atakufuata msikitini! hawa kina Diamondo and the so called No school billioneas; mamlaka zikicheka cheka nao sana haya ndio matokeo; kanafikiri nchi iko mfukoni mwake. kama CDM kuandamana ni kuvunja sheria basi kuvaa sare za jeshi ni kuvunja sheria pia tumeambiwa hivyo, sasa hebu tuone kama PoliCCM watamgwaya "prezida" wa bongo flava!
Mkuu huyo kijana shule ni mgogoro, na sasa utoto ndo unaojionyesha waziwazi.
 
Itakuwa aliagizwa na UKAWA tu ili CCM wasishinde uchaguzi mkuu 2015 ili Lowassa alie
 
Hivi huyo Diamond zile gwanda si kanunua dukani?sasa nani aliziruhusu kupita bandarini au airport kama mzigo wa kibiashara na sio mzigo wa kijeshi.{ama jeshi kudhalilika lilisha dhalilika na kashfa kama Maremeta na nyingine so sio mara ya kwanza.
 
Ukiwa msukule ni shiiida! Sasa hapo tena polisi wamekosea nini?!
Ghosryder , na mimi nimekuwa msukule? Wapi pamesemwa polisi wamekosea?

Actually, kama kweli wamemkamata ni jambo jema. Wamfikishe mahakamani ili suala hili la mavazi ya jeshi lieleweke vizuri (kama kweli ni kosa kwa mujibu wa sheria zetu ama la?).

Nilikuwa naonesha "mashaka" tu kwamba policcm wanaweza kumshikilia "diamond" kama inavyoripotiwa. Btw, walishindwa kumkamata siku ya tukio (najua walikuwepo) kama kweli kosa ni kuvaa hizo sare tunazoambiwa ni za jeshi?
 
Last edited by a moderator:
hakuna kesi hapo na mwacheni dogo huyo ......!kweli star maana anawasumbua akili zenu sana
 
the National Security Act provides that;

6.—(1) Any person who, for the purpose of gaining or assisting any other person to gain admission to a protected place or for any other purpose prejudicial to the safety or interests of the United Republic—

(a) without lawful authority uses or wears any uniform of the Defence Forces or of the Police Force or any other official uniform of the United Republic or any uniform so closely resembling the same as to be likely to deceive, or falsely represents himself to be a person who is or has been entitled to wear or use any such uniform; or

.............
......................
..............
shall be guilty of an offence and liable on conviction to imprisonment for a term not exceeding twenty years......

KWA SHERIA HII HAKUNA KITU HAPO....
tz hakuna sheria hapo kuna maongez tu na mkwanja wako tu kwisha habar
 
tz hakuna sheria hapo kuna maongez tu na mkwanja wako tu kwisha habar
sheria ipo ila watekelezaji ni shida....lkn kwa hii sheria diaomond hata akipelekwa mahakamani anapeta bila mwanja wala maongezi
 
Back
Top Bottom