Harathony
Senior Member
- Oct 22, 2014
- 179
- 156
Wangemkabidhi kwa JW wamalizane naye.
ashukuru kaenda polis mana tipidenga wangekua wameshaua huyo wale hawarembi m2 akiharbu kaz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangemkabidhi kwa JW wamalizane naye.
Umetsh Mkubw, Waambie
Dukan znauzouzwa co za tipidenga halic.nguo za jesh ndugu yang mpaka mafund cherehan wanaogopa kupunguza
Huyu domo pimbi sana..kwa nini hakuvaa kanzu ? Mxxxx mitoto ya madrasa hovyo sana
Mkuu huyo kijana shule ni mgogoro, na sasa utoto ndo unaojionyesha waziwazi.Ukicheka na mbwa atakufuata msikitini! hawa kina Diamondo and the so called No school billioneas; mamlaka zikicheka cheka nao sana haya ndio matokeo; kanafikiri nchi iko mfukoni mwake. kama CDM kuandamana ni kuvunja sheria basi kuvaa sare za jeshi ni kuvunja sheria pia tumeambiwa hivyo, sasa hebu tuone kama PoliCCM watamgwaya "prezida" wa bongo flava!
Huyo dogo anadhan sar z jesh znavaliwa krahc!achukuliwe hatua coz nidhan hakuna kbsa....
Wewe kipofu nini hizo sare ni kwamba huzioni au jeuri tuu.Kama ushahidi upo utolewe?
Ghosryder , na mimi nimekuwa msukule? Wapi pamesemwa polisi wamekosea?Ukiwa msukule ni shiiida! Sasa hapo tena polisi wamekosea nini?!
Nape kashamuagiza kova amtoe.
tz hakuna sheria hapo kuna maongez tu na mkwanja wako tu kwisha habarthe National Security Act provides that;
6.(1) Any person who, for the purpose of gaining or assisting any other person to gain admission to a protected place or for any other purpose prejudicial to the safety or interests of the United Republic
(a) without lawful authority uses or wears any uniform of the Defence Forces or of the Police Force or any other official uniform of the United Republic or any uniform so closely resembling the same as to be likely to deceive, or falsely represents himself to be a person who is or has been entitled to wear or use any such uniform; or
.............
......................
..............
shall be guilty of an offence and liable on conviction to imprisonment for a term not exceeding twenty years......
KWA SHERIA HII HAKUNA KITU HAPO....
sheria yenyewe inaonekana iko dhaifu, ni rahisi sana kuipangua.
sheria ipo ila watekelezaji ni shida....lkn kwa hii sheria diaomond hata akipelekwa mahakamani anapeta bila mwanja wala maongezitz hakuna sheria hapo kuna maongez tu na mkwanja wako tu kwisha habar
kwa hili tukio la diamond na kwa sheria yenyewe ilivyo hata ukiwa huna pesa unapetahata hivyo mwenye pesa siyo mwenzio.
hizo sio sare ni mavazi yanayaofanana na sarewewe kipofu nini hizo sare ni kwamba huzioni au jeuri tuu.