Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

kumbe sheria inaruhusu kuvaa ila usivae kwa kujaribu kufanya uharifu au kuficha identity yako, mbona yule mkuda alimpigisha mbizi yule dogo pale kariakoo bila kosa lolote, dogo alifungulie jeshi mashitaka hii sio sawa.
nchi hii mambo yanafanyika kwa mazoea tu ila ukifutilia hayakutakiwa yawe hivyo
 
Kwajinsi ninavyolijua Jeshi la Polisiccm utasikia wamwemuachia halafu upepelezi unafanyika na akibainika kua alivaa hizo nguo za jeshi basi sheria itachukua mkondo wake!
 
Uchunguzi uende mbali zaidi kujibu maswali haya, je hayo mavazi aliyaazima? kama aliyaazima ni askari gani alimwazima? kama hayo mavazi aliyashona, je ni duka gani linauza vitambaa vya jeshi?? je ni halali kwa vitambaa hivyo kuuzwa?? kama alinunua dukani, ni duka gani linauza nguo za jeshi? je ni halali kwa duka kuuza nguo za jeshi?? hayo yakifanyika yatepusha mengi.
 
Mnajisumbua tu hajakamatwa mtu yeyote yule sio Babu Tale wala Domo mwenyewe,izo picha mtaziona kwenye nyimbo yake ijayo...Hamjiulizi yule mzee wa 966 Nay wa mitego mbona hajakamatwa???? tena yeye ndo alivaa kata 'K' kabisa
 
Ampigie simu mkulu amwambie vijana wake wanamsumbua
maana mkulu si anafagilia!!
 
kweli diamond star aiseeeee maana katingisha sanaaa mediaaaa
 
We dobi wa diamond nini?
ndio....kwa hiyo hizo nguo nazijua sana ....sio kila vazi linalofanana na sare za polisi au jeshi ni sare za jeshi au polisi kama ingekuwa hivyo kila mwanajeshi na polisi angekuwa anaenda kushona mwenyewe kwa fundi au kununua tu dukani
 
Bongo tambalale, CCM ni noma --- watu wamehamishwa toka Katiba mpya, sasa story ni Diamond na Sitti Mtemvu. Ghafla mtaambiwa mpige kura ya NDIYO katiba mpya!!
 
Mtoa mada kwa taarifa tu,diamond na madansa wake walihojiwa na kuachiwa.
 
Nashangaa kwa nini jeshi halijampandisha gorofani (gorofa ya 10) na kumwambia ajitupe nchini sakafuni apige mbizi? Watu kama hawa inabidi wapewe adhabu za kiukweli ili jamii ijuwe jeshi si lelemama.
 
Uchunguzi uende mbali zaidi kujibu maswali haya, je hayo mavazi aliyaazima? kama aliyaazima ni askari gani alimwazima? kama hayo mavazi aliyashona, je ni duka gani linauza vitambaa vya jeshi?? je ni halali kwa vitambaa hivyo kuuzwa?? kama alinunua dukani, ni duka gani linauza nguo za jeshi? je ni halali kwa duka kuuza nguo za jeshi?? hayo yakifanyika yatepusha mengi.


Kwa Tanzania hii sahau hilo maana huyu ni mpiga kura wetu na uchaguzi unakuja.
 
Vipi kumbe hammpendi? Hakuna anayeitisha maandamano ya kuachiliwa wa Diamond? Tuache kufikiria kiushabiki na upenzi bali tufikiri zaidi juu ya hatma ya taifa letu kama kila mtu atayejaliwa kupata milo 3 (watu maarufu) kwa siku kuamua kuvunja sheria na sheria yenyewe kushindwa hata kulalamika kwa kunyanyaswa?
 
Na uyo dogo domo wakimsweka sero kunahatari ya kupakuliwa!!!
 
Back
Top Bottom