Nasema hivi, Mume anauma!

Nasema hivi, Mume anauma!

Niwe tu mkweli, kwa ninavyojisikia hili wazo limenipitia mara kadhaa kwamba labda nitajisikia better.

Akija mtu na usiriazi anaweza kuniangusha (Mungu anitangulie). Nina hasiraa

😆😆😆

Yàani hata huyo atakayekuja atakewa na MICHEPUKO zaidi ya uliyenaye sasa.

Hapo ñdipo Jamie Kuzuka au Kunyoa
Au uombe Kadi ya uanachama Kwa dronedrake kaimu Mwenyekiti Kataa Ndoa

Huko kwèñye Chama cha Kataa Ndoa NI rasmi utakuwa kama Maharamia wanaoteka waume za Watu au wachumba za Watu na hautakuwa na Mali yako mwenyewe
 
Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Chai
 
Huyu hajawahi kupigwa matukio ya kufululiza. Yaani unapigwa matukio kiasi kwamba mwili na moyo vinakufa ganzi hata uitwe njoo umuone mumeo huku ananyanduana na mtu nyumba ya jirani ndo kwanza unavuta blanket unakoroma vizuri kabisa.
Duuh
 
Ooooh kumekuchaaaaa!!!
Mdada anajua kuwa huyu baba ni mume wa mtu, afu anadate nae, useme hayuko kikazi kuharibu ndoa yako, uko serious?

Hiyo farajaa kwa vijana wenzie ameikosaa au haipatii? Sasa mie ndo nakuambia wazi, huyo dada kwa mumeo kafata pesaa na uhakika wa matunzo, atafanya kila awezaloo ili mumeo aendelee kubaki kwake?

Kwanini siku zote hukuwahi jua km unasalitiwa, ila hizi week 2 umejua? Bas jua kuna sehem huyu mdada kagusaa kwa mumeo, na mumeo amezama na kujisahau kujilinda had wee umestukiaa.

Unadhani hawa wanaofikia hatua ya kuharibikiwa, inaanzajee? Ndo km hivi mdogo mdogo, kuja kustukaa huna chakoo, na ushachelewaa zamaniii.

Nikupe ushauri km dada angu, kaa chinii tafakari, wapii ulikwamaa ktk ndoa yako had mumeo kutoka nje, ukiona hupati jibu, kaa na mumeo akuelezee, huenda mkapata suluhishoo.

Ukijifanyaa kupuuziaa, iko siku utakujaa kuliaa, kamasi zifike miguuni.

Narudia tenaa, kaa kimastaa na ndoaa yakoo.

Amfuate Afande ampe ABC.
Watu wanamlaumu Afande lakini zile ndîzo adhabu wanazostahiki wezi wa wènyewe. Hayo màtukio mtaani yapo mengi NI vile hayaripotiwi kwèñye media
Hakika mkuu avumilie tu atazoea

Azoee asizoee hawezi Kuzuia hiyo.
Akitaka naye a-cheat ili wapoteze na kuvunja Ndoa na kîla Mtu apite kivyake ila lazima Alelewe hata Huko anapoenda mambo NI yaleyale.

Mwanaume atajitahidi Sana lakini mwisho lazima ashwinde kuwa na Mwanamke mmoja,

Aidha ageuke haramia au abaki ndoani
 
Mimi ni mtumzima, lakini niaeme tu kwamba hauja treat situation kwa akili kubwa.
Hicho ulicho kifanya yaweza sababisha mumeo akavurugika.
 
Mzee mwenzangu mimi sina uzoefu sana na watoto wa 2000. Nakula mali safi za 35 huko...sina shida na mtu🤣🤣
Hahaha........... hongera sana Mzee mwenzangu, Mimi nilijaribu wote wa 90' na hao wa 2000

Nimegundua Kwa umri wangu Bora niendelee na Wazee wenzangu wa Mwaka 47, nikienda na hao wenye 35 na 20' naweza kupandisha Kisukari na Pressure katikati ya pambano 😜
 
Hahaha........... hongera sana Mzee mwenzangu, Mimi nilijaribu wote wa 90' na hao wa 2000

Nimegundua Kwa umri wangu Bora niendelee na Wazee wenzangu wa Mwaka 47, nikienda na hao wenye 35 na 20' naweza kupandisha Kisukari na Pressure katikati ya pambano 😜
aiseee
 
Pole sana kwa yaliokukuta hakika unahitaji mtu wa kukushauri na kukujali kwa kipindi hiki tafadhali naomba niifanye hii kazi kama hautojali nicheki Private message. Ahsante!!!..
 
Umekosea sana, una uhakika huyo x wako kama ni mzima?, unajua kuwa na yeye yupo na mahusiano and it is possible naye kaoa kwamaana yeye, mke, na hako katoto ni wa3 haka katoto kwa vile kanajua mumeo ana mke lazima kana mwanaume mwingine wa rika lake, wanakuwa watu7 hapo, imagine boyfriend wa dogo anacheat kwa kuhisi kuwa kaschana kanacheat na mumeo mnakuwa watu 8 weka mumeo 9 na wewe 10, hapo mke wa jamaa hajacheat na jamaa mwenyewe hajacheat and the chain keep going, unaezajikuta mna mtungo wa watu 50.
Dadangu men always cheat no matter what. Na si kwamba tunacheat tunapenda nooooo, ndo nature ilivyo. Wewe kama mumeo anakuhudumia vizuri, anahudumia familia, that is enough mwache aende akirudi nyumbani wala usimbanie, unavyombania either ataongeza katoto kengine mfike wengi. Pambama humo humo. Na utaharibu zaidi pale utakapoamua na ww kucheat yaand ndo kma utaweka mafuta kwenye moto unaowaka.
 
Amfuate Afande ampe ABC.
Watu wanamlaumu Afande lakini zile ndîzo adhabu wanazostahiki wezi wa wènyewe. Hayo màtukio mtaani yapo mengi NI vile hayaripotiwi kwèñye media


Azoee asizoee hawezi Kuzuia hiyo.
Akitaka naye a-cheat ili wapoteze na kuvunja Ndoa na kîla Mtu apite kivyake ila lazima Alelewe hata Huko anapoenda mambo NI yaleyale.

Mwanaume atajitahidi Sana lakini mwisho lazima ashwinde kuwa na Mwanamke mmoja,

Aidha ageuke haramia au abaki ndoani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Mtibelii jamaniiii.
 
Back
Top Bottom