Nasema hivi, Mume anauma!

Ila hawa mabinti wa 2000 Wana balaa sana

Sijui michezo ya bed wamejifunzia, Wana mbinu hadi za kutumia Vipipi katikati ya mchezo?

Ukija kutahamaki shamba la urithi umemwandika Kwa jina lake 😜🙌

Bora tumezeeka sasa 🤗
Hawezi kuwa na balaa zaidi yangu bwana. Hilo nalijua; basi tu wanaume ni fisi. Aaarghhh
 
Mpe uhondo mumeo hakuna mwanaume wa mke mmoja shenzi yaani ngozi zilivyonyingi na nyeupe huko nje

Tuziangalie tu??? Are you damt tutapiga pipe tunarud nyumbani
 
Naanzaje na moyo umevunjika Mkuu. Mi nataka aachike tuanze upya kujenga maana sahv ndoa hamna hapa. Naumiaaaa
 
Hata haumi kama unavyo dhani , zaidi sana ni ule ubinafsi tulio jaliwa sisi binadamu ndio umekupelekea kuona kuna maumivu kile kilicho chako kikawa kina tumiwa na mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…