Nasema hivi, Mume anauma!

Familia tena. Yaani tukatangaze issues zetu kwa familia? Hapana kwakweli
 
Huwa nasema, ukikuta Me ana ndoa na mkewe kwa miaka zaidi ya kumi bila kutoka nje ya ndoa, hakika huyo ni malaika. Ninaweza kuhitimisha kuwa 99% ya wanaume wenye ndoa za 10+ wamewahi kucheat at least once.
 
Bonge la ushauri!!! Nimekupenda bure
 
Huyu ex yupo tu na sio kwamba eti sisi ni marafiki mabeste. Ila kwa kazi hii ya kishenzi yeye ndo niliyemfikiria.
Ume panic unapita njia ndefu sana.

Chukua simu yako mpigie huyo mtoto wa 2000, ongea nacho sauti flani hivi tulivu ya kimamlaka, usikohoe wala sauti kukwaruza hata kidogo, make sure umekunywa maji ya kutosha koo limekaa sawa kabisa.

Kaonye kaambie nakufahamu kwa sura mpaka unapokaa, nikijua bado una wasiliana na mali yangu nitachokufanya usinilaumu, wewe bado mtoto mdogo sana.

Hakikisha usiitaje njia uliyotumia kujua mambo yao, kaache kajiulize na kujijibu kenyewe. Huku wewe ukiendelea kufuatilia kama bado wanaendelea na mchezo wao.

Call her, wacha kuchezea pesa kumpa uliyempa, katoto kanaweza kumuelewa kisha kamgeuze mumeo mchepuko mara ya pili.
 
Huyu ex yupo tu na sio kwamba eti sisi ni marafiki mabeste. Ila kwa kazi hii ya kishenzi yeye ndo niliyemfikiria.
Inaonekana mlifanya naye mambo ya kishenzi huto Ex wako hadi unamtumia kikazi😆😆

Harafu watu washenzi baada ya kuwafanyia mambo ya Kishenzi huwa hawawaoi badala yake mnakuja na kutuganda sisi Innocent Boys.
 
Watu wengi wameshindwa kubaini shida ya mtoa mada.


ANAPATA wapi UJASIRI wa kuwasiliana na EX wake.??? HIYO ni Red flag kubwa sana.

Mke wangu awasiliane na EX wake mpk wapeane michongo kama hiyo?..

NB: Ex wake kamsifia ni kitombi, na mtu kama ni kitombiwise lazima atapasha kiporo hapo na usikute wanapasha mara kwa mara.
 
Huyu mtoto mimi simtafuti! Labda kichaa nilompa kazi amwambie, which i doubt. Katika ushauri wote, huu wa confrontation nimeukataa.
 
HIZI NDIZO MADA ZENYE WASHAURI WENGI JAMIIFORUMS.

Hapa kila mtu atatiririka kwa mbwembwe na kujifanya mjuzi wa mahaba au kungwi wa kutOMBAH.

Hebu bwana, mtupishe huko.

Mashangazi tumekaa kimya tunawapiga jicho tu.
Shangazi vp mbona umenichunia wakat mm nataka kunyonya hicho kijambio mpaka kiwe chekundu.
 
Pole sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…