Nasema hivi, Mume anauma!

Nasema hivi, Mume anauma!

Kuna utofauti wa kula tu ukaondoka. Ila unajenga uhusiano kabisa mnakaa masaa 4 mnaongea, mnataniana, unamjua kiundani, shida zake unamtatulia…unfair kabisa
Vumilia dada, hata ukiharibu uhusiano wake na hako katoto kabuku 2

Usidhani itakuwa ndio mwisho atatafuta tena na mwingine

Ila thubutu uumcheat yeye na halafu ajue uone
 
Inaonekana mlifanya naye mambo ya kishenzi huto Ex wako hadi unamtumia kikazi😆😆

Harafu watu washenzi baada ya kuwafanyia mambo ya Kishenzi huwa hawawaoi badala yake mnakuja na kutuganda sisi Innocent Boys.
Ushenzi hakufanya na mie. Alifanya na wengine nikaujua.

Ni mwezi mchanga i agree lakini ni mtu loyal sana na ananijali.

And for the record, mi sijamganda huyu bwana. I am just not stupid enough kuacha familia tuliyojenga ivunjike kisa ameamua kugusanisha vikojoleo huko nje.
 
Huyu mtoto mimi simtafuti! Labda kichaa nilompa kazi amwambie, which i doubt. Katika ushauri wote, huu wa confrontation nimeukataa.
Hamna confrontation hapo, hujanisoma ukanielewa.

Unaonekana unamuogopa huyo mtoto, jiandae kumpoteza mwenzio.

Wenzio hutatua matatizo yanayowahusu personally, wewe unataka kusaidiwa?!

Hujiulizi itakuaje huyo mtoto akimkataa kuwadi uliyemtuma? utaliwa hela na kuwadi mpaka ukome huku mume akiendelea kujiachia na katoto.
 
Hamna confrontation hapo, hujanisoma ukanielewa.

Unaonekana unamuogopa huyo mtoto, jiandae kumpoteza mwenzio.

Wenzio hutatua matatizo yanayowahusu personally, wewe unataka kusaidiwa?!

Hujiulizi itakuaje huyo mtoto akimkataa kuwadi uliyemtuma? utaliwa hela na kuwadi mpaka ukome huku mume akiendelea kujiachia na katoto.
Yakinifika shingoni nitaongea na niliye na makubaliano naye. Naanzaje kumpigia mtoto wa mtu kulialia nalilia mwanaume. Aiii
 
Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Utazoea jipe muda.
 
Watu wengi wameshindwa kubaini shida ya mtoa mada.


ANAPATA wapi UJASIRI wa kuwasiliana na EX wake.??? HIYO ni Red flag kubwa sana.

Mke wangu awasiliane na EX wake mpk wapeane michongo kama hiyo?..

NB: Ex wake kamsifia ni kitombi, na mtu kama ni kitombiwise lazima atapasha kiporo hapo na usikute wanapasha mara kwa mara.
Kwahiyo yeye ale mema ya nchi nikila mie aaaahhh…

Hebu kuwa reasonable basi.
 
Zurie

Unafikiri wanawake wenzako walio kwenye ndoa hawajui kuwa waume zao wana michepuko?

Wanajua na wanafahamu hata baadhi wanafahamu michepuko ya waume zao

Wametulia tu wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite siku zinaenda maisha yanasonga

By the way kwani wewe alikukuta bikra?
 
Back
Top Bottom