Nasema hivi, Mume anauma!

Nasema hivi, Mume anauma!

Ila hawa mabinti wa 2000 Wana balaa sana

Sijui michezo ya bed wamejifunzia, Wana mbinu hadi za kutumia Vipipi katikati ya mchezo?

Ukija kutahamaki shamba la urithi umemwandika Kwa jina lake 😜🙌

Bora tumezeeka sasa 🤗
Mautundu yote wanayokupa wanajifunzia mitandaoni kwa kusoma na kuangalia video hasa porno......smartphone nyoko mdau
 
Mautundu yote wanayokupa wanajifunzia mitandaoni kwa kusoma na kuangalia video hasa porno......smartphone nyoko mdau
Hatari sana Mkuu

Akiamua kukupea, kama una pumzi utakula mzigo hadi uchoke mwenyewe Kwa style Kali tupu 🤗
 
Niwe tu mkweli, kwa ninavyojisikia hili wazo limenipitia mara kadhaa kwamba labda nitajisikia better.

Akija mtu na usiriazi anaweza kuniangusha (Mungu anitangulie). Nina hasiraa
Inaonekana bado unampenda Mumeo. Kaa naye vizuri mzungumze kabla ukimwi haujaingia ndani. Wasichana wadogo wana mahusiano mengi kwa sababu nyingi angalau angekua dada mtu mzima. MUNGU AKUSAIDIE.
 
Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Ukweli mchungu kma mtu yoyote yule aliwahi fanya mapenzi kabla ya kuingia kwenye ndoa lazima akiingia achepuke tu ....sababu zile zile zlilomfanya mwanzo afanye kabla hajaingia kwenye ndoa ...tofautisha Kati ya sex na tendo la ndoa huko mmeo anafata sex tu hajaoa
 
I will be everything in this world except a woman who confronts another woman kuhusu mwanaume. Hii ni principle yangu, najua ndivyo watu hufanya ila mimi milele sitofanya.

Kuhusu kinachopaswa kufanywa i think tumeshapita hiyo point maana hata yeye hakupaswa kufanya anayoyafanya.

Kuhusu atakachofikiria kuhusu mimi kuwasiliana na ex wangu sidhani kama ni shida zangu kwakweli. Anaruhusiwa kufikiria chochote kile.

Wengi mtahisi labda nafanya yote kung’ang’ania mume sijui ndoa lakini najaribu kufanya my part kama mke ya kutulinda (mimi na mwanae) from external parties ambayo yeye kama our protector ameshindwa. So, atakachoamua akijua kitakuwa ndio hicho, nitaumia nitalia ila maisha yataendelea vile vile.
Hupiganii mume na wala hupiganii ndoa ILA unafanya kila unaloweza ku-protect your family.
Hapo umekiri kuwa unafanya ambacho unakana kuwa hufanyi.

RELAX.
MUNGU yuko kwenye hatamu, All will be Well.
 
Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Mpe kazi hiyo Nyundo na genge lake.
 
Kwamba akitombwa nje ndo ishu ya mume kumcheat itajifuta ili awe salama kama anahis hawez endelea kuwa nae amuache akatafute mtu mwingine waanze upya mana huyo anaeenda kumchimba ni mwanaume pia na yuko na wanawake wengine fikirini kabla ya kutenda siungi mkono usaliti ni kigundua taraka 3 zina muhusu mtu
Una ndoa?
 
Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Mbaya wako Ni mume wako.
Sasa fanya hivi, chukua simu ya mwanaume ambaye mume wako hamfahamu. Jifanye wewe kwenye hiyo simu Ni mwanajeshi au Askari magereza halafu muandikie mumeo hivi.
Wewe Ni Fulani mtoto wa Fulani unaishi sehemu x unafanya kazi sehemu y umeoa. Una gari aina z unakunywa pombe bar q, kifupi ninakujua kila kitu hata mabosi wako. Unatembea na mtoto kwa jina anaitwa r, huyu mtoto Ni mchumba wangu na mahari nimeshatoa, Kama amekuambia Hana MTU anakudanganya. Kifupi muogope huyo mtoto Kama ukoma maana tumekuwekea mtego kabambe. Tutakachokufanyia tutachukua picha na kuzituma kwa majirani zako na unakofanyia kazi na kwa mkeo.
Hili Ni onyo la mwisho.

Mumeo akipata hiyo meseji utamuona atabadilika na safari za masjid au kanisani zitaongezeka.
Usikose kunishukuru
 
Back
Top Bottom