Akikuomba mwenyewe kwa kinywa chake huna ujanja utampusha tuNdo unakomaa kwenye siti wee mara mzee anaomba akae unagoma kumbe ulikuwa unaenda kwenye mkutano wa kijini kutambulisha mradi halafu uliyemgomea ndo mwenyekiti wa kijiji....
Lakini konzi lazima ulipateMie tena nitamwambia usiniegemee namie nimechoka sogea hapo
Afu akitaka kushuka amstua mtoto mkali aje akae we unaendelea kuuma bomba hadi MbagalaAfu unaonesha heshima unaamka anakaa hata hasemi asante yaani nasikiaga hasira.
Kwani huo mkoa mwingine hauna taxi,bajaj?kijana unasahau kwamba hata kma una gari, kuna siku utasafiri kwenda mkoa au mji mwingine, je hautapnda daladala ?
Huu mwaka hauishi.
Maisha ya kupanga matamu sana ukiwa kapera hasa upate nyumba yenye changanyikeni ya kistaarabu mixa watoto wakaliHapa mjini vijana wana zeeka haraka sana mtu ana miaka 40 lakini ukimtazama kama 60 au 70 wengine wana miaka 60 bado wana panga maisha ya mjini Dar hayana kanuni
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Baba usijione utakuwa kijana maisha na uwezo wa kununua gari, unakuja huku kwetu uzeeni tutakuona unasurvive vipi na hiyo pension.Walemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu. Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu, bodaboda used mpaka laki sita, hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda.
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao.
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke. Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi. We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee, nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu.
Ungeshapita 48 ndiyo ungejiita kijana ???Nshapita 48
Ishu sio kumpisha mtu yeyote. Kile ni chombo cha biashara, haupandi bure, uwe mzee au kijana. So kama hutaweza kusimama ni vizuri usubiri lije lingine utakalo kaa, usiwakwaze wengine ambao kama ww unavyotaka kukaa wao pia wanahitaji kukaa.Walemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu. Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu, bodaboda used mpaka laki sita, hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda.
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao.
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke. Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi. We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee, nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu.