Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tena kama unalamba vile vikavu vikavu ndiyo balaaa!Miaka 60 dar kama.hauna hela ni kama una miaka 120
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Waheshimu baba na Mama, upate miaka mingi na heri duniani.Walemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu. Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu, bodaboda used mpaka laki sita, hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda.
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao.
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke. Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi
We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee, nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu.
Si ndio kama anawez kuneng'eneka wa nini sasaDah we noma kwa hiyo ukiona huyu mzee anaweza piga show ukimpa 😀😀
Vyote vipo ila inafika mahali hauwez kuvigusa hata hizo hela hauwez kusoma tarakimu labda upate msaada, hujawahi enda ATM ukakuta mzee akakwambia naomba msaada wako unitolee hela, je mtu kama huyo anaweza kuendesha gari???We mzee punguza munkari tafuta hela ukiumwa upande walau bajaj au ubber
Wa aina hiyo wapo wengi mkuu,wema usizidi uwezo,jali wazazi wako,wanao na mke kwanza,ile surplus ndio usaidie ndugu,ndugu hawana shukrani
Pesa mwana haramu ndugu ..ukiwa na hela chawa watakuzunguka tu,utapata dereva wa gari yako na utaoa binti mbichi wa kukupa joto.nyumba itajaa wajukuu nk,ukiwa huna kitu huoni mtuVyote vipo ila inafika mahali hauwez kuvigusa hata hizo hela hauwez kusoma tarakimu labda upate msaada, hujawahi enda ATM ukakuta mzee akakwambia naomba msaada wako unitolee hela, je mtu kama huyo anaweza kuendesha gari???
Jipe moyo mkuu .hakuna mzee mwenye gari dar akafurahia kupanda daladala kwa Dar,labda mikoani,usafiri wa umma dar ni wa kudhalilishana sana,tafuta hela hujachelewa , usipofanikiwa muachie Mungu atleast ulipambana,get rich or die trying usikate tamaaYule mtu aliyeishi akiuza dagan, mbogabaoga, genge sokoni mpaka uzee wake. Mnataka awe na gari.
Yule baba yake Diamond wa kweli, aliyekuwa Tandale sokoni maisha yake yote yo mnataka awe na gari au boda hata ya wizi.
Yule mtu aliyeishi akiamka mapema asubuhi kwenda shambani kukulima kutwa nzima ili kujitafutia chakula chake mpaka akazeeka, mnataka awe na gari.
Hata hivyo, kuna wazee wala hawana haja ya magari unayoyazungumzia. Wana hela za kula, magari wamewaachia watoto wao wajinga wajinga kama wewe, wanalala sebuleni ingawa wana nyumba nzuri kuliko unayolala. Wanaona raha tu kupanda daladala kama mimi.
Nakutakia heri na baraka uliyeanzisha uzi huu, kwa kuwa umetambua hayo mapenda. Uzeeni utakuwa na CHOPA na Jet imepaki pale airport. Gari dogo sana kwako.
Hao wazee usiwaone hivi, kuna wengine wakikueleza kilichowafanya wawe vile walivyo, unaweza tokwa na machozi.Take it as a challenge,pambania uzee wako ukifeli basi muachie Mungu