mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
- Thread starter
- #141
Utani wa mjukuu na babu,dont take it seriousMkuu, usiseme ukamaliza... Weka akiba ya maneno!!
Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utani wa mjukuu na babu,dont take it seriousMkuu, usiseme ukamaliza... Weka akiba ya maneno!!
Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
Wewe unawaza sawa na huyuWalemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu. Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu, bodaboda used mpaka laki sita, hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda.
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao.
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke. Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi
We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee, nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kifupi vijana wengi wa sasa hivi legelege kama mlenda sio vikakamavu ndio maana vinapenda kukaa tu kwenye viti kama vibwege haviwezi Simama hata saa moja kwenye basi vitaanza kulia mma
hasa vya Dar es salaam vya kiume hivi vivaa milegesheo, vya kike Walau vinajitahidi kupisha
Angeanguka kwa presha huyo ulimuokoa sanaKumpisha mzee kiti sio kwasababu ya uzee wake. Ni heshima. Nakumbuka kuna mwaka mmoja hivi nilikuwa natoka dsm kwenda iringa. Tulipofika pale Kibaha akapanda dada mmoja alikuwa mnene sana. Ila umri naweza sema nilikuwa nimemzidi au tumelingana. Gari ilikuwa imejaa. Suka akaanza kugonga gear.
Kila nimwangalia naona kabisa hawezi kufika morogoro. Jasho lilikuwa linamtoka. Kila mara akitaka vioo vifunguliwe apate upepo kidogo.
Nikampigia hesabu. Tulipofika bwawani nikamwambia njoo upumzike hapa. Wallah baada ya muda mchache sana akalala kama kalishwa dawa za kulevya. Ile siti nikamwachia mwanzo mwisho.
Alipofika safari yake akanipa 10k.
Dar hawazeeki trust me,hawa wazee wa dar ukiwapekeka kijijini mwaka mmoja tu chaliKati ya mtu alie mkoan na dar n yupi anazeeka haraka? Mfano wote wana hali sawa za kiuchumi
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Dah naona wamekuangushia jumba bovu,nimeamini hata magereza kuna watu wamesingiziwa kesiUmechanganyikiwa Mkuu!
Sina uhusiano na mto Mada.
Hata hivyo mtoa mada ametoa maoni yake hivyo yupo Sawa Kwa Uelewa wake.
Mtoa mada pia anajaribu kuwaambia Vijana wajiandae vyema na siku za uzee wao.
Mengine uliyoyasema kuhusu Mimi ni mtazamo na jinsi Uelewa wako ulivyo. Hivyo upo Sawa Kwa akili Yako
Nakazia hili HAKUNA LAANA kama kuna laana leo hii nchi ya ujerumani isingekuwepo maana imeua sanaHAKUNA LAANA
Nimetokaje nje ya mstari wakati wewe umemalizia kwa kusema unawatania tu.Usitoke nje ya mstari
Nmeshangaa kuona jamaa anasema eti dar watu wanazeeka harakaDar hawazeeki trust me,hawa wazee wa dar ukiwapekeka kijijini mwaka mmoja tu chali
Hauelewi interview za private companies mwisho wa siku unakutana na mtu mmoja tu kwenye oral interview na nyingi hukodi wazee wastaafu wabobezi area husika kusaidia hilo huyo mtu nimekupa mfano aliomba kazi ya ufundi magari kampuni ya usafirishaji mizigo ndio akakutana na huyo mzee fundi magari wa siku nyingi mstaafu kwenye hiyo kampuni ndio aliitwa aje awafanyie oral nterview hao mafundi waombajiHzo ni story za vijiwen hazna ukweli wowote labda kama ilikua ni intavyuu ya saidia fundi
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Dah naona wamekuangushia jumba bovu,nimeamini hata magereza kuna watu wamesingiziwa kesi
Dah we noma kwa hiyo ukiona huyu mzee anaweza piga show ukimpa 😀😀Mimi huwa naangalia huyu nikimpa papuchi ataweza kucheza nayo? mind ikiniambia Yes simpishi ng'oo......... Kama ni mwanamke na anaonekana mzee huwa nampisha huku moyoni nikisema anaweza kuwa nyanya yangu au mama nanyanyuka charp
Kipindi cha ujana wao wenzao walikua wana pambana kutafuta wao walichojua ni kuchomekea na kucheza disco vumbi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kutoka jasho kunategemea. Kuna watu wana overactive sweating glands kitaalamu ni Hyperhidrosis. Yaani anaweza asiwe anafanya lolote lakini ana sweat profusely hasa sehemu zenye joto kama Dar na Pwani.Ndio wazee wengi wana nguvu ndio maana hata wasipopishwa kiti wanasimama hadi mwisho hawaanguki chini kwa vichovu
Fuatilia vizuri basi hata lijae vipi wazee waliosimama wima huwa hawatoki mijasho lakini vijana mijasho kibao na hulalamika kuwa wanashindwa kupumua vizuri.
Stamina ziko chini kwa vijana wengi huo ndio ukweli na inasababishwa na vyakula legelege wanavyokula na behaviour legelege kwenye maisha kama hiyo ya kushindwa kusimama kwenye daladala hata saa moja tu hawawezi
Watoto wanafurahisha sana....nimesoma mmoja humu anamuona mtu mwenye 48yrs mzee sana!''Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee, nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu.''
Wa aina hiyo wapo wengi mkuu,wema usizidi uwezo,jali wazazi wako,wanao na mke kwanza,ile surplus ndio usaidie ndugu,ndugu hawana shukraniSio wazee wote unaowaona walikuwa wanakula bata ujana wao ila wengine walikuwa mishahara yao inalipa Ada za ndugu halafu ndugu walipopata kazi za maana wakawatupa
Kuna mzee alikuwa waziri na Mbunge alisomeshwa na ndugu yake wa damu ila baada ya kufaulu vizuri na kuwa na kazi nzuri hakumsaidia ndugu yake kabisa kisa eti mlevi
Wote wametangulia mbele ya haki ila hakumtendea haki ndugu yake
Na hao ndio wakipanda bus unamhukumu na kusema ujana aliumaliza kwa raha kumbe ni kuhangaika mwanzo mwisho mpaka kaburini