Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mi na uzee wangu nakugusa kijana uachie siti nikae unakaza nakushushia konzi zito najua ukinigusa utapigwa na gari zimaWalemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu
Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala
Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu,bodaboda used mpaka laki sita,hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke
Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi
We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala
Amesema bado kijana, anapambana ili uzeeni asipande dala dala badala yake apande usafiri binafsi.Wewe una gari gani mkuu?
Mgonjwa unamjuaje?Halafu unakuta magari kibao hakuna shida ya usafiri wanapanda tu,pia wajawazito. Nitakae mpisha ni mgonjwa tu.
Wapishe bwanaHii tabia wanayo wamasai yaani wanaboa sana, Gari kibao ila anataka hiyo inayoondoka Monduli apande na apishwe. Na mashuka yao yaliyojaa maziwa😅
PS: Mtoa mada umefunga Mills ngapi Bank??
Mgonjwa anayeonakana anaumwaMgonjwa unamjuaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu vibabu vikikaa na pisi kalii, vinatoa simu vinampa demu, vinamwambia jihamishie hela kutoka benki kiasi utakacho, password ni mwaka wangu wa kuzaliwa 1947
Yaani mtu yupo mwanzo wa kituo kabisa ambapo anaweza mwambia konda akamtunzia kiti mie asimame tu wengine kuzurula mchana kutwa na watoto mgongoniHalafu unakuta magari kibao hakuna shida ya usafiri wanapanda tu,pia wajawazito. Nitakae mpisha ni mgonjwa tu.
Yaani mi na uzee wangu nakugusa kijana uachie siti nikae unakazaa nakushushia konzi zito najua ukinigusa utapigwa na gari zima
Sasa mbona inajulikana wazee wengi ni wagonjwa.Mgonjwa anayeonakana anaumwa
Mie tena nitamwambia usiniegemee namie nimechoka sogea hapoYaani unakuta gari tupu lipo hapandi anaogopa kuchelewa anasubiri lililojaa akijua atapishwa siti
Aiser
Haa haa haa haaHalafu vibabu vikikaa na pisi kalii, vinatoa simu vinampa demu, vinamwambia jihamishie hela kutoka benki kiasi utakacho, password ni mwaka wangu wa kuzaliwa 1947