Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ya wizi hapana.Mi sio mzee ila nikizeeka kuliko kudhalilika na daladala mjini ntatafuta boxer used au hata ya wizi
Wala sijitesi, upo Makumbusho gari za Kariakoo zipo kibao eti gari imejaa na mwenyewe na uzee wake anajitupia asimame tu kwakweliDah we kauzu mi huwa najifanya ninesinzia
Umenifunja mbavu kabisaHalafu vibabu vikikaa na pisi kalii, vinatoa simu vinampa demu, vinamwambia jihamishie hela kutoka benki kiasi utakacho, password ni mwaka wangu wa kuzaliwa 1947
Hawasemi anakaa tu hata wenye watoto unampisha anayaweka tu hata kusema asante jamani?Afu unaonesha heshima unaamka anakaa hata hasemi asante yaani nasikiaga hasira.
Utamjuaje? Kwa macho?Mgonjwa anayeonakana anaumwa
Kuna mzee mmoja huwa ananiomba nimsaidie kutoa hell zake huwa aninipa password yake kbsa pia Ana watot 3 ila hawaamini Yuko radhi anisubiri mpk nije ndio nikamletee hella nmb au mpesa anazotumiwa za mazao shambn kwake ..Halafu vibabu vikikaa na pisi kalii, vinatoa simu vinampa demu, vinamwambia jihamishie hela kutoka benki kiasi utakacho, password ni mwaka wangu wa kuzaliwa 1947
Usimuache huyo mzee ,raha sana kuaminiwa na wazee hongera JF inasomwa na wengi hiyo password uliyoandika hapa ifute ,watoto watamuibia hela baba yaoKuna mzee mmoja huwa ananiomba nimsaidie kutoa hell zake huwa aninipa password yake kbsa pia Ana watot 3 ila hawaamini Yuko radhi anisubiri mpk nije ndio nikamletee hella nmb au mpesa anazotumiwa za mazao shambn kwake ..
Password Ni 0961 [emoji16]
Watot wake wa kike alinifata nimpe namb za Siri za Bab ake ila nimegoma siku hz wananichukia San yey na mam yake mzeee ananimbia nikijaribu kutoa password nitakufa namm nimeingia ofu mbaya Ana account mbili za nmb na crdb hyo ya nmb ndio zilizoingiza hzo pesion
Mzee yule alishakuwa mpk mkurugenzi wa halmashuri kadha hapa nchin
Kwa kweli kila nilifanya muahama wowote napata 20000 jus Kati ndio akanikunjia Mia mbili baada ya kumuelezea tatizo Langu
Tupambane tu mkuu mengine tumuachie MunguHapa mjini vijana wana zeeka haraka sana mtu ana miaka 40 lakini ukimtazama kama 60 au 70 wengine wana miaka 60 bado wana panga maisha ya mjini Dar hayana kanuni
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Miaka 60 dar kama.hauna hela ni kama una miaka 120Ngoja ufike miaka ya 60 kwanza afu nitarudi kukujibu 2045
HaaaaaaaMiaka 60 dar kama.hauna hela ni kama una miaka 120
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Yaani huwa inasikitisha sana miaka 40 ananyang'anywa demu na Mzee wa miaka 60? Jamani aibu aibu sana.Hapa mjini vijana wana zeeka haraka sana mtu ana miaka 40 lakini ukimtazama kama 60 au 70 wengine wana miaka 60 bado wana panga maisha ya mjini Dar hayana kanuni
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Duu hatariKuna mmoja alikataa kumpisha mzee kwenye daladala akiwa anaenda interview wakashuka wote kwenye basi
Kuingia ofisi ya interview akakuta yule mzee ndie wa kumhoji oral interview
Kilichofuata alimwamkia tu mzee akamwambia nenda.Alitoka analia akajua kitakachofuata.Hakupata kazi