Nasema tusiwapishe viti wazee kwenye daladala, walichezea ujana

Yaani mi na uzee wangu nakugusa kijana uachie siti nikae unakaza nakushushia konzi zito najua ukinigusa utapigwa na gari zima
 
Hii tabia wanayo wamasai yaani wanaboa sana, Gari kibao ila anataka hiyo inayoondoka Monduli apande na apishwe. Na mashuka yao yaliyojaa maziwa😅

PS: Mtoa mada umefunga Mills ngapi Bank??
Wapishe bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…