Nasema tusiwapishe viti wazee kwenye daladala, walichezea ujana

Nasema tusiwapishe viti wazee kwenye daladala, walichezea ujana

Huu Ni ukweli,ndio maana watu wenye roho nzuri wengi wao wanaishia kuwa na uchumi wa Kati au wa chini.

Tujiwekee akiba na sisi na sio kuzimaliza zote kwa ukarima wa kusaidia ndugu maana mwisho wa siku watakutupa na kutokukujali

Mungu atupe mwisho mwema tuseme Ameen [emoji1431]
 
Nadhani vijana wengi humu wanaongelea nadharia kuna kundi kubwa sana la vijana ambao sasa hivi wana Miaka kibao ajira hamna wengine wana Miaka 40 sasa hivi hawajapata kazi na wamesoma muda sio mrefu wataingia kundi la wazee Kusema walichezea maisha ni kukufuru na kutowapisha viti ni kuwaadhibu Mara mbili

Anyway kifupi mleta mada ana roho ya kishetani na wote wanaom mu support wana roho za kishetani mtakwama mbeleni kimaisha kwa sasa mwajiona salama kwa visenti vichache na vigari mitumba vilivyookotwa majalalani Japan mnavyotembelea .Lakini safari bado ndefu. MUNGU AWALAANI KWA KUTOHESHIMU WAZEE

Amri ya Mungu inasema waheshimu Baba yako na mamako update kuwa na siku nyingi zenye heri duniani .Kutoheshimu wazee kunafupisha maisha au siku zenye heri ndio maana vijana wengi sana sasa hivi wanakufa kuliko wazee na wanaharibikiwa sana vitu vingi kama ukosefu wa kazi,maisha magumu maofisini na majumbani kwenye familia zao,nk lakini sababu kuu ni kuwa heshima kwa wazee hamna .
Na mlaaniwe na Mungu wote mlioonyesha kutokuwa adabu kwa wazee humu riziki zenu zipotee na muwe na maisha magumu ambayo hakuna atayeweza kuyabadilisha hadi mfe
Wanasubiri ajira za serikali?lima,fuga,vua samaki,fanya umachinga ,endesha boda boda mpaka ukipata ajira,wewe lala tu uzee unakuja
 
Upo sawa , hata Mimi huwa nawaza kwa Nini wazee wapishwe , wakati wao umri umeenda na majukumu yamepungua, sisi vijana tunategemewa inabidi turelax .wazee waendelee kusimama ili wajenge afya na kuendeleza kuwa wakakamavu
 
Mimi huwa naangalia huyu nikimpa papuchi ataweza kucheza nayo? mind ikiniambia Yes simpishi ng'oo......... Kama ni mwanamke na anaonekana mzee huwa nampisha huku moyoni nikisema anaweza kuwa nyanya yangu au mama nanyanyuka charp
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hao pia n Kama wazaz wetu pia n Kama kaka zetu na Dada zetu heshima n muhimu
 
Me wazee HUWA siwapishi kabisaaaa naaminigi kua maishani mwao wamepitia mengi na magumu kwahiyo HILI la kusimama kwenye gari ni chamtoto tu[emoji4][emoji4][emoji4]
Je mila na desturi zetu ndio umefundishwa hivyo? Hapounawaaibisha wazazi au watu waliokulea kwamba hawakukupa malezi bora !
 
Binafsi huwa nawapisha siti, ila mostly inategemeana maana Ni tendo la kiutu na siyo lazima.

Kuna siku nilikuwa natoka Bukoba kuja Mwanza, nikawa nimepanda stand Bukoba kwahiyo nikapata siti.

Bus lilipofika Muleba akapanda Mzee mmoja, ila alikuta siti zimeisha baada ya KUSIMAMA kwa muda mrefu, akaniomba, kijana naomba nikupe 1,000 (elfu moja) nikae.

Nilivyomuona nikaona kweli anahitaji kukaa Wala buku lake sihitaji. Nikamwambia kaa tu mzee Wala usijali.

Tulivyofika Busisi Ferry akanitafuta, anilipie Ferry nikwamwambia Haina haha mzee.

Sometimes, hivi Ni viti ambavyo hata havikuumizi ukivifanya. Kwahiyo sioni shida.

Tatizo kubwa na baadhi ya wazee kwa Dar kukosa ustaarabu. Yaani unapanda daladala, unapata siti, anakuja mzee unampisha unasimama.

Sasa kumbe mzee mwenyewe anashuka karibu tu, badala akwambie urudi kwenye siti yake yeye anshuka tu anasepa bila hata shukrani utafikiri nlikuwa Ni haki yake.

Na akishuka, kwenye siti anakaa mchizi boti tu , halafu wewe unaendeleaje kushika bomba mpaka mwisho wa Safari.

Huo ndio upuuzi mtupu.
Ni kweli.
Ila wema ni utu, utu ni jambo kubwa sana
Kwahiyo ukiamua kujitoa kwa ajili ya jambo jitoe haswa usiwaze kama atashuka atamwachia mtu au lah...
Ndio maana wahenga wanasema " Tenda wema uende zako usingoje shukrani"
 
Je mila na desturi zetu ndio umefundishwa hivyo? Hapounawaaibisha wazazi au watu waliokulea kwamba hawakukupa malezi bora !
Kivyovyote ILA ndio siwapishi mimi[emoji16][emoji16][emoji16] finally uzeeni tutajuana huko huko
 
Walemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu. Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala Ila wazee hapana.

Mitaani kuna magari hadi milioni tatu, bodaboda used mpaka laki sita, hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda.

Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao.

Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke. Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni

Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi. We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.

Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee, nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu.
Kupambana sio kupata watu wanapambana Sana lakini kupata sio majaliwa.
 
Huwa sielewagi,hakuna shida ya usafir halafu mtu anapanda kwenda kusimama n thn mtu anampisha kukaa wakat aliacha gar nyngne hata haijajaa.Kiukweli mm sikupish uwe mjamzito,sijui una mtoto mchanga,mzee au kikongwe.Itakua imekula kwako.
Kupimana imani tu
 
Hapa ndio chanzo cha maskini wa kiafrika

Wahindi ,waarabu kwao ni pale anapopata Riziki ndio maana huzikwa Tanzania

Wazaramo pia huamini hivyo

Vikabila maskini vingi huamini kwao ni kule vilikotokea hata umpeleke Ulaya kilivyo kibwege kikifa kinataka kije kuzikwa kijijini kwao !! Kinasumbua watu na michango
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom