Nasema ukweli kuhusu uganga

Hamna kitu

Kama kuna Mchawi aniroge nimlipe na pesa juu

Ewe Mchawi sema nikupe kitu gani ukitumie kuniroga, kucha? Nywele? Damu?
Nitumie nywele, mate na kucha nikufanye msukule...

Kuna shamba naliandaa afu sina msimamizi...

Nitumie kwa gari za kuja moshi...

Thanks in advance mkuu...
 
Nitumie nywele, mate na kucha nikufanye msukule...

Kuna shamba naliandaa afu sina msimamizi...

Nitumie kwa gari za kuja moshi...

Thanks in advance mkuu...
Usihangaike fanya lile jini la advance kwa hili hili jina ita roho yake halafu uifunge puliza jina hili mara kadha atajileta kwako naa takuwa kimbola anayeonekana
 
Yah right ila mie napendaga kutukana watu kama ni waki waki .
Sikia mie sina haja ya kuongea kitu utakavyoamini ndio utaachwa ukiamini
Umenielewa nimesaidia a lot of people waluoshindikana nawengi so jichanganye
 
Yah right ila mie napendaga kutukana watu kama ni waki waki .
Sikia mie sina haja ya kuongea kitu utakavyoamini ndio utaachwa ukiamini
Umenielewa nimesaidia a lot of people waluoshindikana nawengi so jichanganye
Karibu bwana niague mimi mganga?
 
Mganga ni yule anakilinge ila mie naona shida ya mtu na mtu atakayemsaidia sijui unanielewa sina kilinge sijaolewa so siwezi pewa kilinge .
Ila naweza sema nakuona matatizo yako
Unaona matatizo yake kwa nguvu ipi?
 
Mtu anayekupenda anaumia mkigombana na anajali mkisuluhishwa
Wewe umesahau kwamba iyo simu yako ulivyokuwa unaipenda siku unanunua na leo ni tofauti,,,binadam ana sifa ya kukinai kitu

Kama wewe ni mganga na unamaono ongea kitu ambacho hakipo hapa dunian na ukilete kianze kuishi kiuhalisia?
 
Naona umekuja kumsengenya ARSI huku, mwenzio sio mganga na ana viumbe vyenye uwezo mkubwa sana

acha wivu.
Mie sina wivu nimesema ukweli halafu arsi ni mtu anayeweza kutibu ila kuna kasoro fulani ipo akitoa hapo . Ni mtu anayeweza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…