Kaka zako wote wawili ni waganga?Sijakuita kaka ila nimesema kaka yangu mganga anatibu tena wako wa 2 ila hawajapitia hayo ndo maana nikasema uganga hauna formula Kuna vitu umeelezea sio wote wanavipitia au vinawatokea kila jinn ruhan ana namna yake, Kuna uganga wa kitabu kuna uganga wa miti shamba mwingine anakuwaw nao wote.
Kwa kweli asisimbue watu ramli dhambi sasa dhambi za bure bure tu.Toe elfu kumi majina yako matatu nakuangalizia kama huna toq elfu 5
Hapo nimekuelewa.Umesema waganga wote wanatumia uchawi nguvu za kiza nikapinga.
Sababu wapo waganga wanaotibu wacha Mungu, kwanza elewa maana ya mganga mtu anae tibu ndo maana ukienda hospital unakuta Mganga 1 Mganga 2 yaani chumba cha Daktari/Doctor hivyo basi waganga kila mmoja ana aina yake ya uganga asli kama wa majini wa kichawi,majini wa miti shamba majini ya vitabu sasa hapo ndo wana tofautiana kuna waganga harogi mtu hashirikiani na wachawi yeye tiba zake anategemea zaidi Mungu kuponyesha anafanya dua anakupa kombe za shifaa na dawa za kiarabu wakati mwingine ana changanya kutibu kichawi miti shamba anaponyesha na anaroga inategemea unaenda na shida ipi anashirikiana na wachawi.
''Mganga wetu yu karibu, Hashindwi na Uchawi... ''Uganga umekatazwa kwenye vitabu vitakatifu vya Mungu. Waelimishe watu kuwa, Waganga na wale waendano wa waganga sehemu yao ni ktk lile ziwa liwakalo moto siku ya hukumu.
Utakua umekulia maisha ya kishua...Unakuta kijana mdogo tu , anaamini kuna watu wanamloga , dah bado ukombozi wa fikra ni changamoto kubwa .
Sio kwel, unajua ukikaa ukifikiri vizur utajua tu ukweliUtakua umekulia maisha ya kishua...
mganga wetu(sisi wakristo) ni Yesu...''Mganga wetu yu karibu, Hashindwi na Uchawi... ''
Huo wimbo unauzungumziaje?
waambie na wengine si kila uganga ni wa Nguvu za Giza ikiwa Yesu mwenyewe ni Mganga kwa imani ya Kikristo.mganga wetu(sisi wakristo) ni Yesu...
Seriously, karne hii ya 21 mbona wewe hujaacha kutukanatukana watu ovyo?Seriously! Karne hii ya 21. Achana na uganga hauna tija.
Usifanye hivoo😃😃Anayemfahamu mganga kwelikweli anisaidie nataka kumfunza mtoto wa mtu ambae hakufunzwa na mama yake adabu na heshima 🤣🤣
MmnMganga ni yule anakilinge ila mie naona shida ya mtu na mtu atakayemsaidia sijui unanielewa sina kilinge sijaolewa so siwezi pewa kilinge .
Ila naweza sema nakuona matatizo yako
Una mapepo wachafu 1999, majini 4577, vinyamkera 1927, vibwengo kama vyotemh hii imenichoma kama moto yan nakuelewa kama hii mada nimeandika mm
Teh teh tehee,usiogope muoe tu,ndoa ni mkataba takatifu.Nilitaka nikutongoze, Sasa umenitisha na mada za uganga. Unaweza kuniloga wewe