Nasema ukweli kuhusu uganga

Nasema ukweli kuhusu uganga

Watoto wadogo wa jamiiforums hawawezi kukuelewa. WATOTO WADOGO.

Wanakula biskuti na kujamba kwenye makochi ya shemeji zao huku wakijiita wasomi.

Usomi wenyewe ndio hizi DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI, wanapiga punyeto tu mizinga yenyewe hakuna mpaka TABORA.

Uganga wa kweli ni jambo zito sana. Ni kitendo cha kuvamiwa na majeshi ya kiroho, lazima unyooke.

Any form of spiritual attack is catastrophic. Be it wizardry or anything related to that, it is CATASTROPHIC.

Hawa machekibobu wa jamiforums wenye DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI watakwambia sio kweli, eti wao ni wasomi!
Kwa hiyo tufuate darasa ama?
 
Kuhusu kuoneshwa mbona nakumbuka sio lazima mtu apelekwe mapangoni kujifunza hayo yote,,mtu akiwa kapewa mkoba wa uganga anaanza kwa kuumwa sana tu. Kama malaria huku akiwa kwenye ndoto wale wote waliokuwa waganga wa tangulizi anawaona nakupewa masharti yakufanya ili awe mganga.

Baada ya kupewa mizimu yake na majini yake lazima upewe jini ambalo ni uganga wako. Ndiye anaitwa kiti na pia humuona ndotoni sio live.

Halafu ukianza kusimikwa uganga unatakiwa uwe unafamilia tayari. Watoto wako ndio ukoo wako kuna mmoja au mjukuu wako utamridhisha.

HAlafu unakuwa unaona hadi mtu akienda kwa waganga au mtu fulani wakaribu wanataka kumuua au chochote kizuri au kibaya .
BAsi ukioa unaletewa wengine wakukuelekeza na wazee waukoo uganga ulipo basi unaanza kutibu.

Ila uganga kwanza nikama unabii tu ila mtu kuishi mapangoni kufanya nini kama ni pete zauganga kama umeshaoa mke au kuolewa na mme wamtakao basi. Ukiwamke namume unaanza kuoteshwa nani wakukupa kila kitu sasa sijui wengine wanaenda kuishi mapangoni kufanya nini na huku majini yanakufuata at the right time . Na mtu huanza kuona nakuelezea wale wenye shida nakuwaelekeza mganga wakuwasaidia kwa mana bado hajawa kamili.

Na uganga halisi huwezi kulala na familia yako. Hiyo hapana hata ukiuliza watu wengi . Ambao wamekuwaga waganga .

Sijui kwa wale ambao wengi waliupataje huo uganga .
Mimi naonaga kila mganga ni mchawi maana anatumia mamlaka za giza, au nakosea?
 
Uganga = Uchawi.

Wote wapo chini ya kitengo cha kuongozwa na nguvu za giza kutoka kuzimuni.
Uchawi ni taaluma iliyo mbele ya wakati, ni wakati sahihi sasa wa kuiboresha ili iweze kulinufaisha taifa.

Uchawi unaweza kutumika kusafirisha vitu au watu haraka kuliko chombo chochote ulimwenguni.

Uchawi unaweza kuleta mafanikio ya haraka kwa jambo lolote mfano elimu, biashara, kazi n.k

Uchawi unaweza kumtanguliza mtu kaburini

Kwaharaka haraka utabaini uchawi ni taaluma nzuri inayoweza kuleta mapinduzi makubwa ila wenye shida ni watumiaji wa taaluma husika
 
Anayemfahamu mganga kwelikweli anisaidie nataka kumfunza mtoto wa mtu ambae hakufunzwa na mama yake adabu na heshima 🤣🤣
Ninyi ndio mnasababisha taaluma hii ionekane ni ya hovyo, %kubwa ya watanzania tunadhani uganga au uchawi ni kufanya mambo mabaya tu.

Uganga ni taaluma inayoweza kukusaidia kujua yaliyopita ambayo hukubahatika kuyaona au kuyahisi, yaliyopo ambayo huyajui, na yajayo.
 
Ninyi ndio mnasababisha taaluma hii ionekane ni ya hovyo, %kubwa ya watanzania tunadhani uganga au uchawi ni kufanya mambo mabaya tu.

Uganga ni taaluma inayoweza kukusaidia kujua yaliyopita ambayo hukubahatika kuyaona au kuyahisi, yaliyopo ambayo huyajui, na yajayo.
Ni kweli napia ndio.maana watu hupewa kuwasaidia watu kutatua shida zao
 
Ninyi ndio mnasababisha taaluma hii ionekane ni ya hovyo, %kubwa ya watanzania tunadhani uganga au uchawi ni kufanya mambo mabaya tu.

Uganga ni taaluma inayoweza kukusaidia kujua yaliyopita ambayo hukubahatika kuyaona au kuyahisi, yaliyopo ambayo huyajui, na yajayo.
Umepanic brother!!
 
Halafu wanapinga eti hakunaga wapo waganga wengi wazuri nawanasaidia
Usikubali kushauriwa na mtu mwenye DIPLOMA halafu anajiita MSOMI. Ni URONGO hana usomi wowote ni makaratasi matupu ya KUGANGA NJAA.

USOMI WA KWELI ni kutambua mambo bayana na yasiyo bayana kisha kuyapima katika uhalisia wa MAISHA YA KAWAIDA (PRACTICAL EXPERIENCE) na KUYASHABIHIANISHA na MUUNGANIKO WA MATUKIO au MUUNGANIKO WA TAARIFA (PATTERNS).

Mtu hawezi kuja na vikaratasi vyake vya DIPLOMA aanze kutamba yeye ni msomi wakati sote tunajua hana alijualo.

Mimi mwenyewe ni msomi kweli kweli, lakini ninajua mengi yaliyo nje ya vyeti vya darasani, kwahiyo mtu akija na KADIPLOMA KAKE lazima nimnyuke kweli kweli bakora za kisogo.
 
Mwaya sijafikia huko labda kuona tu utaolewa nanani na mengineyo. Kiuserious humu na nje ya hapa kuna vijana wanakupenda ni wewe kuwa makini maana kuna mtu unampenda ila yeye hajaweka msimamo kwako pekee na mtu mwingine anakupenda wewe upo tu kisa anakuhudumia vyema
min -me njoo usome! Sweety ake kaniona kwa macho ya rohoni😂
 
Kuhusu kuoneshwa mbona nakumbuka sio lazima mtu apelekwe mapangoni kujifunza hayo yote,,mtu akiwa kapewa mkoba wa uganga anaanza kwa kuumwa sana tu. Kama malaria huku akiwa kwenye ndoto wale wote waliokuwa waganga wa tangulizi anawaona nakupewa masharti yakufanya ili awe mganga.

Baada ya kupewa mizimu yake na majini yake lazima upewe jini ambalo ni uganga wako. Ndiye anaitwa kiti na pia humuona ndotoni sio live.

Halafu ukianza kusimikwa uganga unatakiwa uwe unafamilia tayari. Watoto wako ndio ukoo wako kuna mmoja au mjukuu wako utamridhisha.

HAlafu unakuwa unaona hadi mtu akienda kwa waganga au mtu fulani wakaribu wanataka kumuua au chochote kizuri au kibaya .
BAsi ukioa unaletewa wengine wakukuelekeza na wazee waukoo uganga ulipo basi unaanza kutibu.

Ila uganga kwanza nikama unabii tu ila mtu kuishi mapangoni kufanya nini kama ni pete zauganga kama umeshaoa mke au kuolewa na mme wamtakao basi. Ukiwamke namume unaanza kuoteshwa nani wakukupa kila kitu sasa sijui wengine wanaenda kuishi mapangoni kufanya nini na huku majini yanakufuata at the right time . Na mtu huanza kuona nakuelezea wale wenye shida nakuwaelekeza mganga wakuwasaidia kwa mana bado hajawa kamili.

Na uganga halisi huwezi kulala na familia yako. Hiyo hapana hata ukiuliza watu wengi . Ambao wamekuwaga waganga .

Sijui kwa wale ambao wengi waliupataje huo uganga .
Uongo mtupu...

Familia zote za kiafrika zina waganga...

Haya umeyaandikia kuwasema WAGANGA wa kule Kyiv Ukraine ?!!! [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom