SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
-
- #41
Ukiwa umetambua anayekupenda kwa dhati ndoa kwako ipo tena sehemu nzuri tu maisha itayapata na yapo ila unatakiwa ujue mtu sahihi sasa uache kuwa single nipo seriousSweetyCandy mtoto wangu wa kwanza nitampata mwaka gani?
Kwahiyo mimi nipo single?Ukiwa umetambua anayekupenda kwa dhati ndoa kwako ipo tena sehemu nzuri tu maisha itayapata na yapo ila unatakiwa ujue mtu sahihi sasa uache kuwa single nipo serious
Hakuna mtu ambaye yupo mwenyewe hii dunia lazima kuna mtu au watu wanakupa kampani so unataka niseme hapa tukose posho za ccm niacheKwahiyo mimi nipo single?
mtoto wangu wa kwanza nitampata mwaka gani?Hakuna mtu ambaye yupo mwenyewe hii dunia lazima kuna mtu au watu wanakupa kampani so unataka niseme hapa tukose posho za ccm niache
Unataka kujua utampata lini ?? Mwakanimtoto wangu wa kwanza nitampata mwaka gani?
Tuombe Mungu nipewe mimba mganga wanguSinimepatia ??
Naogopa kusema ukweli sana nitaharibuTuombe Mungu nipewe mimba mganga wangu
Wewe uliyemwoga wakutongoza unapendwga nawadada ila kww aibu unajidai unamsimamo mkali utaniambia nini😁 hamna kitu
Kumbe huwa napendwa mganga 🤔Wewe uliyemwoga wakutongoza unapendwga nawadada ila kww aibu unajidai unamsimamo mkali utaniambia nini
Utajua ujuiKumbe huwa napendwa mganga 🤔
Wewe sema nipo hapa kukupa ulinziNaogopa kusema ukweli sana nitaharibu
Sawa mganga wanguUtajua ujui
Mganga mpe dawa sasa ya kuacha domo zegeUtajua ujui
Naunga mkono hoja😁Mganga mpe dawa sasa ya kuacha domo zege