Ndiyo maboresho yenyewe ninayoyazungumzia. Nikama tu sayansi inavyoendelea kuboresha mambo na kupelekea kutotumia vifaa au nishati zenye madhara kwa mazingira na binadamu.Utajiskia vp kwamba mtoto wako,familia yako Au wew utumiwe kukamilisha mambo ya kichawi Au uganga.mfano kutumia mafuta ya watoto.maiti za wapendwa wetu .nk.
Ubaya wake unakuja pale Kwenye vitu wanavyotumia
Kijana,Unakuta kijana mdogo tu , anaamini kuna watu wanamloga , dah bado ukombozi wa fikra ni changamoto kubwa .
Hii comment iwekewe lamination then case closed (Uzi ufungwe) umemmaliza kabisaWatoto wadogo wa jamiiforums hawawezi kukuelewa. WATOTO WADOGO.
Wanakula biskuti na kujamba kwenye makochi ya shemeji zao huku wakijiita wasomi.
Usomi wenyewe ndio hizi DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI, wanapiga punyeto tu, mizinga yenyewe hakuna mpaka TABORA.
Uganga wa kweli ni jambo zito sana. Ni kitendo cha kuvamiwa na majeshi ya kiroho, lazima unyooke.
Any form of spiritual attack is catastrophic. Be it wizardry or anything related to that, it is CATASTROPHIC INDEED.
Hawa MACHEKIBOBU wa JAMIIFORUMS wenye DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI watakwambia sio kweli, eti wao ni WASOMI!
nimesoma uzi wako vizuri sasa niambie jambo kunihusu mimimganga mwenyewe ni anawakilisha mizimu na majini ila ukiacha mganga kuna huyo kiongozi wa uganga sasa ambaye huitwa kiti huyu ndio hutoa maamuzi ya kila kitu uaguzi,na matibabu.
NDio maana mganga anadai ngoja nikaongee nawazee
Aaaaaaah bichwa komwee weee nikajua umebase sana kwenye vijambio tu kumbe kizungu nacho umo ,hongera sanaAny form of spiritual attack is catastrophic. Be it wizardry or anything related to that, it is CATASTROPHIC INDEED.
Kumbe shetan anao uwezo wa kufanya mtu awe tajiri dunia nzima kuliko Mungu muweza wa yote?Hawa ni mafree manson sadaka zao huziwezi jinsi wanavyoishi huwawezi hata ukitaka hakuna kitu free .
Sasa sio watu wanatoa wale wametoa roho zao,na pia familua zao wanajua wanaabudu mashetani gani kwa kila wiki wanajua watavaa nini na kula nini,nawataishije.
Hakuna watu wanaogopeka kama wazungu
Mizimu + Waganga wa kienyeji + Wachawi + Walozi + Washirikina + Wanga + Majini + Mapepo = Nguvu za giza (Shetani).SIpingii kabisa ila kila mtu anaaina ya uganga wake kuna uganga wa mizimu,ambayo wanaokuongoza ni babu zako walioopita na hayo majini lazima mtu aliyedhamiriwa kuwa mganga awe nayo. Kafara zake ni kuku na mbuzi.
Ila kuna mganga ni wamajini sana na mizimu kidogo . Huyu kafara zake ni wanyama wakubwa wakubwa,kuvuta vitu vilivyowekwa kichawi. Nakusoma visomo na kutibu watu.
Mwingine ni uganga wa kifree manson huyu lazima atakuambia utoe kafara za watu tu. Sio jingine na kukuambia uue uwaweke ndani kwa kuwafanyia kazi. Au kuwachukulia nyota na huu uganga ukikosea masharti unauwawa. Na ukiwa hujui kuutumia pia huyu hanaga haja yakujua future yako, nikukupa masharti tu.
Wengine hulala na dada zako au mama yako au hata kuwatumia wanaume wenzako. Au wanawake wenzako upate mali .
Siku zote wapingaji wakuu uwepo wa uchawi ndiyo Wachawi wenyewe haswa.Watoto wadogo wa jamiiforums hawawezi kukuelewa. WATOTO WADOGO.
Wanakula biskuti na kujamba kwenye makochi ya shemeji zao huku wakijiita wasomi.
Usomi wenyewe ndio hizi DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI, wanapiga punyeto tu, mizinga yenyewe hakuna mpaka TABORA.
Uganga wa kweli ni jambo zito sana. Ni kitendo cha kuvamiwa na majeshi ya kiroho, lazima unyooke.
Any form of spiritual attack is catastrophic. Be it wizardry or anything related to that, it is CATASTROPHIC INDEED.
Hawa MACHEKIBOBU wa JAMIIFORUMS wenye DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI watakwambia sio kweli, eti wao ni WASOMI!
Kuna jamaa alikuwa msanii wa huu mziki wa kizazi kipya,ikatokea uganga ukamtaka alikuwa sharo hatari muda wote msafi ananukia ana dred kichwanYeah uganga na uzinifu hauendi kinga inakuwa ndogo ya kupambana.
hamna kwani hao wateja s watakua wanakuja wenyewe? watashikiwa bunduki?La mama una roho ngumu
Nielimishe hapa tafadhali.Sio wote
Uganga umekatazwa kwenye vitabu vitakatifu vya Mungu. Waelimishe watu kuwa, Waganga na wale waendano wa waganga sehemu yao ni ktk lile ziwa liwakalo moto siku ya hukumu.mganga mwenyewe ni anawakilisha mizimu na majini ila ukiacha mganga kuna huyo kiongozi wa uganga sasa ambaye huitwa kiti huyu ndio hutoa maamuzi ya kila kitu uaguzi,na matibabu.
NDio maana mganga anadai ngoja nikaongee nawazee
Uchawi na uzinzi je?Yeah uganga na uzinifu hauendi kinga inakuwa ndogo ya kupambana.
Uganga na uchawi una tofauti ya jinsia tu . Mganga ni mshrikina wa kiume na mchawi ni mshirikina wa kike .SIpingii kabisa ila kila mtu anaaina ya uganga wake kuna uganga wa mizimu,ambayo wanaokuongoza ni babu zako walioopita na hayo majini lazima mtu aliyedhamiriwa kuwa mganga awe nayo. Kafara zake ni kuku na mbuzi.
Ila kuna mganga ni wamajini sana na mizimu kidogo . Huyu kafara zake ni wanyama wakubwa wakubwa,kuvuta vitu vilivyowekwa kichawi. Nakusoma visomo na kutibu watu.
Mwingine ni uganga wa kifree manson huyu lazima atakuambia utoe kafara za watu tu. Sio jingine na kukuambia uue uwaweke ndani kwa kuwafanyia kazi. Au kuwachukulia nyota na huu uganga ukikosea masharti unauwawa. Na ukiwa hujui kuutumia pia huyu hanaga haja yakujua future yako, nikukupa masharti tu.
Wengine hulala na dada zako au mama yako au hata kuwatumia wanaume wenzako. Au wanawake wenzako upate mali .
Ndio maana nikasema awali kuna aina za waganga sio wote ni wachawiHuwezi kuwa Mganga bila kuwa Mchawi, hawa ni mapacha waliotoka kwenye kiuno cha baba mmoja na mama mmoja ila tu jinsia tofauti lakini damu ni moja.
Uzinzi na uchawi inategemea grade za uchawi na maagano sio kila uchawi unaendana na ugangaUchawi na uzinzi je?