Nasema ukweli kuhusu uganga

Nasema ukweli kuhusu uganga

Utajiskia vp kwamba mtoto wako,familia yako Au wew utumiwe kukamilisha mambo ya kichawi Au uganga.mfano kutumia mafuta ya watoto.maiti za wapendwa wetu .nk.
Ubaya wake unakuja pale Kwenye vitu wanavyotumia
Ndiyo maboresho yenyewe ninayoyazungumzia. Nikama tu sayansi inavyoendelea kuboresha mambo na kupelekea kutotumia vifaa au nishati zenye madhara kwa mazingira na binadamu.
 
Watoto wadogo wa jamiiforums hawawezi kukuelewa. WATOTO WADOGO.

Wanakula biskuti na kujamba kwenye makochi ya shemeji zao huku wakijiita wasomi.

Usomi wenyewe ndio hizi DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI, wanapiga punyeto tu, mizinga yenyewe hakuna mpaka TABORA.

Uganga wa kweli ni jambo zito sana. Ni kitendo cha kuvamiwa na majeshi ya kiroho, lazima unyooke.

Any form of spiritual attack is catastrophic. Be it wizardry or anything related to that, it is CATASTROPHIC INDEED.

Hawa MACHEKIBOBU wa JAMIIFORUMS wenye DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI watakwambia sio kweli, eti wao ni WASOMI!
Hii comment iwekewe lamination then case closed (Uzi ufungwe) umemmaliza kabisa
 
mganga mwenyewe ni anawakilisha mizimu na majini ila ukiacha mganga kuna huyo kiongozi wa uganga sasa ambaye huitwa kiti huyu ndio hutoa maamuzi ya kila kitu uaguzi,na matibabu.
NDio maana mganga anadai ngoja nikaongee nawazee
nimesoma uzi wako vizuri sasa niambie jambo kunihusu mimi
 
Hamna kitu

Kama kuna Mchawi aniroge nimlipe na pesa juu

Ewe Mchawi sema nikupe kitu gani ukitumie kuniroga, kucha? Nywele? Damu?
 
Hawa ni mafree manson sadaka zao huziwezi jinsi wanavyoishi huwawezi hata ukitaka hakuna kitu free .
Sasa sio watu wanatoa wale wametoa roho zao,na pia familua zao wanajua wanaabudu mashetani gani kwa kila wiki wanajua watavaa nini na kula nini,nawataishije.

Hakuna watu wanaogopeka kama wazungu
Kumbe shetan anao uwezo wa kufanya mtu awe tajiri dunia nzima kuliko Mungu muweza wa yote?
 
SIpingii kabisa ila kila mtu anaaina ya uganga wake kuna uganga wa mizimu,ambayo wanaokuongoza ni babu zako walioopita na hayo majini lazima mtu aliyedhamiriwa kuwa mganga awe nayo. Kafara zake ni kuku na mbuzi.

Ila kuna mganga ni wamajini sana na mizimu kidogo . Huyu kafara zake ni wanyama wakubwa wakubwa,kuvuta vitu vilivyowekwa kichawi. Nakusoma visomo na kutibu watu.

Mwingine ni uganga wa kifree manson huyu lazima atakuambia utoe kafara za watu tu. Sio jingine na kukuambia uue uwaweke ndani kwa kuwafanyia kazi. Au kuwachukulia nyota na huu uganga ukikosea masharti unauwawa. Na ukiwa hujui kuutumia pia huyu hanaga haja yakujua future yako, nikukupa masharti tu.
Wengine hulala na dada zako au mama yako au hata kuwatumia wanaume wenzako. Au wanawake wenzako upate mali .
Mizimu + Waganga wa kienyeji + Wachawi + Walozi + Washirikina + Wanga + Majini + Mapepo = Nguvu za giza (Shetani).
Airtel money + M Pesa + Halo Pesa + Tigo Pesa = Mihamala ya simu(Baba mmoja).

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Watoto wadogo wa jamiiforums hawawezi kukuelewa. WATOTO WADOGO.

Wanakula biskuti na kujamba kwenye makochi ya shemeji zao huku wakijiita wasomi.

Usomi wenyewe ndio hizi DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI, wanapiga punyeto tu, mizinga yenyewe hakuna mpaka TABORA.

Uganga wa kweli ni jambo zito sana. Ni kitendo cha kuvamiwa na majeshi ya kiroho, lazima unyooke.

Any form of spiritual attack is catastrophic. Be it wizardry or anything related to that, it is CATASTROPHIC INDEED.

Hawa MACHEKIBOBU wa JAMIIFORUMS wenye DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI watakwambia sio kweli, eti wao ni WASOMI!
Siku zote wapingaji wakuu uwepo wa uchawi ndiyo Wachawi wenyewe haswa.

Ubinadamu ni kazi The humanity is a work.
 
Yeah uganga na uzinifu hauendi kinga inakuwa ndogo ya kupambana.
Kuna jamaa alikuwa msanii wa huu mziki wa kizazi kipya,ikatokea uganga ukamtaka alikuwa sharo hatari muda wote msafi ananukia ana dred kichwan

Mwanzo alikataa ila mauza uza yalipozid ikabid asalimu amri,akatafuta pori karibu na mji akaanza tiba,mwanzo alipata watu wengi sana wakawa wanakwenda kutibiwa kwake lakin yeye lifestyle yake hakuiacha,kamari kwa sana na kula mademu mpaka wake za watu,baadae alififia,kwake kukawa hakuna watu tena akaanza kuuza na vitu vyake mwsho wa siku alihama
 
Huwezi kuwa Mganga bila kuwa Mchawi, hawa ni mapacha waliotoka kwenye kiuno cha baba mmoja na mama mmoja ila tu jinsia tofauti lakini damu ni moja.
 
mganga mwenyewe ni anawakilisha mizimu na majini ila ukiacha mganga kuna huyo kiongozi wa uganga sasa ambaye huitwa kiti huyu ndio hutoa maamuzi ya kila kitu uaguzi,na matibabu.
NDio maana mganga anadai ngoja nikaongee nawazee
Uganga umekatazwa kwenye vitabu vitakatifu vya Mungu. Waelimishe watu kuwa, Waganga na wale waendano wa waganga sehemu yao ni ktk lile ziwa liwakalo moto siku ya hukumu.
 
SIpingii kabisa ila kila mtu anaaina ya uganga wake kuna uganga wa mizimu,ambayo wanaokuongoza ni babu zako walioopita na hayo majini lazima mtu aliyedhamiriwa kuwa mganga awe nayo. Kafara zake ni kuku na mbuzi.

Ila kuna mganga ni wamajini sana na mizimu kidogo . Huyu kafara zake ni wanyama wakubwa wakubwa,kuvuta vitu vilivyowekwa kichawi. Nakusoma visomo na kutibu watu.

Mwingine ni uganga wa kifree manson huyu lazima atakuambia utoe kafara za watu tu. Sio jingine na kukuambia uue uwaweke ndani kwa kuwafanyia kazi. Au kuwachukulia nyota na huu uganga ukikosea masharti unauwawa. Na ukiwa hujui kuutumia pia huyu hanaga haja yakujua future yako, nikukupa masharti tu.
Wengine hulala na dada zako au mama yako au hata kuwatumia wanaume wenzako. Au wanawake wenzako upate mali .
Uganga na uchawi una tofauti ya jinsia tu . Mganga ni mshrikina wa kiume na mchawi ni mshirikina wa kike .
 
Huwezi kuwa Mganga bila kuwa Mchawi, hawa ni mapacha waliotoka kwenye kiuno cha baba mmoja na mama mmoja ila tu jinsia tofauti lakini damu ni moja.
Ndio maana nikasema awali kuna aina za waganga sio wote ni wachawi
 
Back
Top Bottom