Watoto wadogo wa jamiiforums hawawezi kukuelewa. WATOTO WADOGO.
Wanakula biskuti na kujamba kwenye makochi ya shemeji zao huku wakijiita wasomi.
Usomi wenyewe ndio hizi DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI, wanapiga punyeto tu, mizinga yenyewe hakuna mpaka TABORA.
Uganga wa kweli ni jambo zito sana. Ni kitendo cha kuvamiwa na majeshi ya kiroho, lazima unyooke.
Any form of spiritual attack is catastrophic. Be it wizardry or anything related to that, it is CATASTROPHIC INDEED.
Hawa MACHEKIBOBU wa JAMIIFORUMS wenye DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI watakwambia sio kweli, eti wao ni WASOMI!