Nasema ukweli kuhusu uganga

Nasema ukweli kuhusu uganga

kunae mtu wangu wa karibu hatukuwai kujua kama bibi yake mzaa mama alipungwa uganga wa mkoba na alikua anaoteshwa dawausingizini, sasa huyu bibi wakat anauma huyu best yeye alikua mzito sana kwenda kumuangalia mpaka nikawa namshinikiza nenda anaumwa sana kmuangalie sio vizur kweli siku tukaenda kufika bibi akampa mkono akaushikilia sana akitabasam wakaagana tukasepa siku illfatia yule bibi alifariki, baada ya kumaliza kuzika tuko matangani yule best yangu skuwah kumuona akipandisha madude hayo nina miaka naye zaidi ya kumi sijawa kumuona hata akisema ana mashetani bas jini la kimasai na yey sio mmasai nilikua nimekaa naye tunapiga story nikajua ananitania mm nikawa namwambia wewe na kimasai wapi na wapi usiniletee usanii alinikaripia akapanda juu anaruka ruka ikabidi na mm nikae pembeni ndio namuita huku namuuliza una shida gan anajibu kimasai watu wakasogea nikaelezea hali halisi kataftiwa mtu wa kusemezana naye wakaanza kuongea kimasai mwisho yule mkaliman akasema huyu jini anasema kwa nn mikoba mmeiweka chini na mhusika hajapata mrithi? mnatakiwa kumtafuta mrithi wa huo mkoba haraka halaf nikageukiwa naambiwa una bahati uko na kiti sehem salama mie hapo namuogopa lakini sasa yeye hataki hizo habari za uganga kabisa hata siku kwao wanatafta mrithi wamkoba yeye hakwenda na mkoba haukuchagua lakini amekua akioteshwa mambo kadhaa hunishirikisha mara aote anavikwa kama kofia na watu hawajui amevalishwa rubega hua namtania mwenyewe huo mkoba n wako unasmbua tu ndugu zako sasa wewe leo kama umenitonya jambo
 
kunae mtu wangu wa karibu hatukuwai kujua kama bibi yake mzaa mama alipungwa uganga wa mkoba na alikua anaoteshwa dawausingizini, sasa huyu bibi wakat anauma huyu best yeye alikua mzito sana kwenda kumuangalia mpaka nikawa namshinikiza nenda anaumwa sana kmuangalie sio vizur kweli siku tukaenda kufika bibi akampa mkono akaushikilia sana akitabasam wakaagana tukasepa siku illfatia yule bibi alifariki, baada ya kumaliza kuzika tuko matangani yule best yangu skuwah kumuona akipandisha madude hayo nina miaka naye zaidi ya kumi sijawa kumuona hata akisema ana mashetani bas jini la kimasai na yey sio mmasai nilikua nimekaa naye tunapiga story nikajua ananitania mm nikawa namwambia wewe na kimasai wapi na wapi usiniletee usanii alinikaripia akapanda juu anaruka ruka ikabidi na mm nikae pembeni ndio namuita huku namuuliza una shida gan anajibu kimasai watu wakasogea nikaelezea hali halisi kataftiwa mtu wa kusemezana naye wakaanza kuongea kimasai mwisho yule mkaliman akasema huyu jini anasema kwa nn mikoba mmeiweka chini na mhusika hajapata mrithi? mnatakiwa kumtafuta mrithi wa huo mkoba haraka halaf nikageukiwa naambiwa una bahati uko na kiti sehem salama mie hapo namuogopa lakini sasa yeye hataki hizo habari za uganga kabisa hata siku kwao wanatafta mrithi wamkoba yeye hakwenda na mkoba haukuchagua lakini amekua akioteshwa mambo kadhaa hunishirikisha mara aote anavikwa kama kofia na watu hawajui amevalishwa rubega hua namtania mwenyewe huo mkoba n wako unasmbua tu ndugu zako sasa wewe leo kama umenitonya jambo
Kwahiyo una rafiki mganga ?
 
Kwahiyo una rafiki mganga ?
hajakabidhiwa huo uganga ila mambo yake s ya kitoto kuna siku alinmbia aliamka saa saba za usiku anaons mtu kabeba moto anakimbia nikamwambia na wewe ukawa bado tu unamuagalia utakua kichwani kwako una mwenzio
 
Kuhusu kuoneshwa mbona nakumbuka sio lazima mtu apelekwe mapangoni kujifunza hayo yote,,mtu akiwa kapewa mkoba wa uganga anaanza kwa kuumwa sana tu. Kama malaria huku akiwa kwenye ndoto wale wote waliokuwa waganga wa tangulizi anawaona nakupewa masharti yakufanya ili awe mganga.

Baada ya kupewa mizimu yake na majini yake lazima upewe jini ambalo ni uganga wako. Ndiye anaitwa kiti na pia humuona ndotoni sio live.

Halafu ukianza kusimikwa uganga unatakiwa uwe unafamilia tayari. Watoto wako ndio ukoo wako kuna mmoja au mjukuu wako utamridhisha.

HAlafu unakuwa unaona hadi mtu akienda kwa waganga au mtu fulani wakaribu wanataka kumuua au chochote kizuri au kibaya .
BAsi ukioa unaletewa wengine wakukuelekeza na wazee waukoo uganga ulipo basi unaanza kutibu.

Ila uganga kwanza nikama unabii tu ila mtu kuishi mapangoni kufanya nini kama ni pete zauganga kama umeshaoa mke au kuolewa na mme wamtakao basi. Ukiwamke namume unaanza kuoteshwa nani wakukupa kila kitu sasa sijui wengine wanaenda kuishi mapangoni kufanya nini na huku majini yanakufuata at the right time . Na mtu huanza kuona nakuelezea wale wenye shida nakuwaelekeza mganga wakuwasaidia kwa mana bado hajawa kamili.

Na uganga halisi huwezi kulala na familia yako. Hiyo hapana hata ukiuliza watu wengi . Ambao wamekuwaga waganga .

Sijui kwa wale ambao wengi waliupataje huo uganga .
Binafsi nina uzoefu wa kipekee wa mambo hayo. Nitaichukua hii post na kuijibu kule kwa kina.
Simba.
 
Back
Top Bottom